Gobole
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,806
- 4,651
Yani tuwe wa 10 kati ya inchi 52 zenye uchumi mkubwa Africa, mbele ya inchi nyingine 42 then tuwemo kwenye list ya inchi maskini 25 duniani huku hizo 42 tulizozizidi Africa zikiwa hazimo?
Hata Somalia isiwemo kwenye list.
Anyway nlitaka kuuliza kupata vichekesho km hivi tunabonyeza no ngapi?
Hata Somalia isiwemo kwenye list.
Anyway nlitaka kuuliza kupata vichekesho km hivi tunabonyeza no ngapi?