Tanzania has become a hotbed of Kagame spies under Magufuli watch: Who is Mike Rwalinda and Hotel Kagame in Dar?

Nilikuwa nakusoma tena jinsi wanyarwanda walivyokuwa.

Duh kweli walikuwa na akili sana hadi ukaamua kukimbia nchi. Ni vizuri sasa watu wamepata akili za jaoa kazi tu na kuwabamba hawa watu.. au sio. Rudi sasa nchini


Siyo, Wanyarwanda walikuwa na akili ila tatizo ninyi viongozi na wasomi uchwara na hadi Wake wa baadhi ya viongozi kama wewe kuweka porojo nyingi na siasa hadi mahala ambapo siasa haihitajiki.
 
Mkuu, suala la wanyarwanda kuwemo kwenye system yetu si leo tu ni tangu wakati wa uongozi wa hayati Mwalimu Nyerere.

Hawa watu wamo katika kila idara ya maana na hata kwenye miaka ya 80s walikuwemo hata benki kuu wakifanya kazi mule halafu baadae walikuwa wakirudi kule.

Mimi binafsi nimekua na baadhi yao hadi kusoma shuleni hadi vyuoni hapahapa Tanzania bila wasiwasi?

Na wanakizungumza Kiswahili sanifu kabisa bila wasiwasi na huwa wanakwedna likizo Rwanda na kurudi?

Kama leo wanyarwanda wanatumia hadi "drones" kusambaza damu na madawa kwenye hospitali mbalimbali nchini humo kwa kushirikiana na wamarekani basi sisi kwanini tusiwatumie wataalam wao wa IT ambaio wamesoma kuliko wataalam wa kitanzania ambao wengi wamegeuka kuwa wanasiasa?

Ikizingatiwa kwamba Rwanda bado ni nchi ndogo lakini inao wataalam wa kinyarwanda wengine ambao wanarudi nchini humo kutoka ughaibuni hivyo wanatafuta kazi ili wapate wapatie mahala pa kutambulika kitaalam.

Mbona tunaanza kushangaashangaa na kujiulizauliza wakati huu wa serikali ya awamu ya tano?
Wewe nae unafikra fupi,kuweo kwenye system yetu toka enzi za Nyerere sio tija,angalia hulka na dhima ya raisi waliyenaye sasa,Angalia sera za nje za Kagame sasa ulinganishe na maraisi wengine wa Rwanda wa enzi za Nyerere.

Kuhusu wataalamu,hata sisi kama nchi tunauwezo wa kupeleka wataalamu wetu wazalendo wakasome nje ili waje kutusaidia badala ya kutumia wataalamu ma spy kutoka Rwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha haaaaa

Wewe uliyeandika humu ulikimbia nchi kwa sababubya wanyarwanda.. walikuzidi akili kimasomo ukaisikia uchungu na kukimbia.. Mimi uandika kutokana na mtu humu na yaliyopita so usinipangie cha kuandika na mihasira yako iliyokujaa kuzidiwa akili unadai umekimbia nchi.. kituko wewe huna hata aibu... kama hukuwa na uwezo wa kupata kazi kwa akili zako usiniwekee hasira zako..bora huko utakuwa umepata kazi yoyote ile ukaanza maisha.. ungeandika ulienda kusoma kwansa sawa ila utakuwa umeanzia kwenye ya kivilevile na unajijua kaka umejisukuma kuvuka madaraja au upo ulipofika.

Tabu nyie wanaume mnaoshindwa na kuumia roho badala ya kujifunza kujiongeza.. huwa hampendi wanawake waandike.. inakuuma nini mimi kumjibu huyo... badala ya kumpa hongera JPM mnaleta ushabiki wenu wa kawaida.

Nasema tena usinipangie cha kuandika. Wewe andika uoipiga kelele wapi au weka link ya uzi ulirusha humu tukusome.. sio kuzidiwa akili na kunitukia mimi kwa kuikimbia nchi yako badala ya kukaa kama mwanaume na kuijenga... yote umejiandikia yanakuhusu kwa jinsi ulivyo.. ulilalamika hukusikilizwa... weka tuone wapi hata maandishi copies ya barua zako. Wivu kwa kuzidiwa akili umekujaaa na wa nje kupata kazi.

Bado nacheka eti IQ eeeeh yako ikoje kushindwa kupata kazi na kuzidiwa na wageni nchini.. kweli lazima ujichukie.. chimba shimo ujifukie kabisa


Ha ha haaaaaaaaaa.. porojo na wivu umekujaaa.. sijali kama unapenda nayoandika au la... wanawake na sisi tunajua kuyaandika acha ubaguzi wa jinsia na mihasira yako iliyokujaaa.. rudi nchini upambane kama hata umepata kitu kama ka maharifa yoyote upo ulipo au hujadakua kitu bado unalalamika tu


Pole sana sijasema haya yote uliyoandika na ni porojo tu na ndivyo hivyo wengi mlivyo siyo wanawake au wanaume.

Ndiyo maana, nimekwambia akili yako ni ndogo sana ni 0.0000000005 kujadili hii mada.

Pole sana.
Huu Uzi tunaongelea "spy and espionage with sleeper agents" ila wewe ulichokiandika ni taarabu na hujui hata mada ya huu uzi.
Soma content yangu uone kama nimezungumzia masomo au ajira.

Nimeongelea spy and espionage field with sleeper agents walivyowekwa kila mahala ila sisi kwa porojo kama hizi zako tunachekacheka nchi inazidi kubomolewa.

Hata huu Uzi kwa sababu ya lugha ya malkia iliyotumiwa hujaelewa chochote ila umeokoteza tu maneno, JPM, ccm, mtikila na vyuo vikuu na neno wanyarwanda kisha ukarukia kwenye hitimisho.

I can see and believe that languange barrier is your problem.
 
Unawaongelea hao wakimbizi, ni lazima watakuwa wanafanya maamuzi yasiyo sahihi kutokana na hali yao.

Mkuu, jaribu kuingia Kigali upokelewe na wanyarwanda.

Halafu hawa wenzetu ni wanyarwanda tu, hakuna cha Mtutsi wala Mhutu wote ni wanyarwanda tu.

Hiyo wanayosema ya mimi mhutu au mimi Mtutsi ndiyo iloleta vita mwaka 1994 na wakachinjana hadi kanisani.

Na tatizo vita ya ukabila ikianza tu hakuna mtu yoyote ambae ataweza kuzuia.

Nenda Kigali mkuu, ukaribishwe.
Damn unataka kudanganya kuwa uhutu na ututsi umekwisha?mimi napenda wale bint tu za kitutsi /kihutu sijali makabila yao japo najua ni wakabila ila zile toto wacha wee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo mkubwa. Kama kagame alimwaga hela kwa lowasa,kwa nini mara baada ya uchaguzi tu JPM alienda Rwanda na akadhhirisha kwamba ni rafiki mkubwa wa kagame? Na wamekutana zaidi ya Mara moja! Mpaka wanaombana wataalamu wa IT na kuulizana wapi bombadia zinauzwa,Mara atatuletea wataalamu wa kodi kutoka Rwanda.

Mimi naona kagame alihusika na kuuweka utawala huu hapo ulipo,nadhani siri iko karibu kuvuja kuhusu "Rwanda Factor" kwenye uchaguzi wetu.

Anayelaumiwa kwa "urafiki" na Lowasa ni UHURU Kenyatta na William Rutto,

Akina Raila mpaka leo wanasubiri fadhila zao,hawaishi kupiga hodi Tanzania,hata kagame huwezi kukubali spies wake wakamatwe hapa bongo wakati anajua wakati wa uchaguzi aliwekeza,hata bandarini nadhani mizigo ya Rwanda iliondolewa baadhi ya procedure fast a


Hivi jamani si ni kagame alimpa ndugu yetu ng'ombe? Halafu leo tuaminishwe eti kagame alikuwa anampa hela za kampeni lowasa?
Ukisikia neno uwe na muda wa kutafakari-Rwanda hawajawai kuipenda CCM na serikali yake na wakati wa uchaguzi wa 2015 walifanya mambo machafu sana. Nikweli baada tu ya uchaguzi JPM alienda Rwanda akapewa ng'ombe lakini.akamwambia Kagame kwenye mipaka Tanzania na Rwanda nimeweka wakuu wa mikoa, wilaya, ras, na das wote WANAJESHI unaelewa maana yake- wewe unafikiria NGOMBE
 
Duh

Haya makubwa na yule aliyedai ni mdada juzi na picha moja yakuvutia wasiofikiria mara mbili... anajitangaza humu kutaka kuja kuishi Dar sijui kakumbana na akina nani na kujua mangapi.

Haya nitaendelea kumalizia kusoma baadae kidogo.
Yule mdada ni shushushu wa kagame,

Jamaa watakuja kututeka kama walivyofanya Kongo,
target yake ni kuyacontrol madini kama alivyofanya congo

Na congo ni nchi kubwa mara mbili kutuzidi lakini walifloat na kama si nchi za kusini mwa africa kuingilia, Congo yote ingeshakuwa Rwanda.
 
Nimesoma na dada flani anaitwa Patricia Ndaizee Kamiri,a pure rwandan (by then tupo advance government school),identies zake zote ikiwemo chet cha kuzaliwa kilionyesha ni MTANZANIA. Akaenda UDSM,akamaliza akaajiliwa VODACOM,aliacha kazi katika mazingira ya kutatanisha,kwa sasa ni mtumishi katika jesh la rwanda (bado nina close contact na mdogo wake ambaye alizaliwa hapa hapa tanzania).
 
Hilo ni dogo sana hata naye ANA WAKE HUKO na KWINGINEKO. Je wewe unafikiri rais Magufuli HAJUI! na Hana
MIKAKATI wala
WASHAURI na hana
MAJASUSI mahali HUSIKA?
Usilalie masikio. Serikali ni SIRI KALI!!!!!
Kwenye hiyo habari kwanini isiandikwe Rwandan spy iandikwe Tutsi spy? Kwanini habari itaje tu wahutu waliuwawa na kutotaja mauaji ya watutsi?Bila shaka source itakuwa ni ya wapinzani wa Kagame. Serikali ya Rais Magufuli ni makini sana.

Subiri 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Recently a news broke out in the media and social media that bring together Rwandans around the planet talking about the kidnap of a Tutsi businessman and also a Rwandan spy MIKE RWALINDA. According to different news media owned by Rwandans, Rwalinda is currently under the Tanzanian police arrest in Tanzania waiting to be deported to Rwanda which would also be what Rwanda is hoping for.

RWALINDA has been working for the kigali Tutsi led intelligence for over 10 years. He has also been in charge of Rwandan spy operation based in both Dodoma and Dar Es Salaam.
GENERAL KABAREBE JAMES AND GENERAL KAYUMBA NYAMWASA KILLED MILLIONS OF HUTU REFUGEES IN DRC AND RWANDA. THEY SHARE SOMETHING SPECIAL, THE HATRED AGAINST HUTUS.


How did Mike Rwalinda manage to stay in Tanzania all these years without being detected despite three major operations ran by the Tanzanian Security Services to outroot Tutsi spies in Tanzania?

  • According to those who know Rwalinda were, is that he was in charge of the 600 Tutsi women spies that Kagame had sent to Dodoma and Dar Es Salam to influence the Tanzanian legislatives policies toward Kagame led regime.
  • He was also in charge to assist a Rwandan Tutsi who was working in the Tanzanian army as a Tanzanian Military IT expert. This guy used to send all Tanzanian Intelligence to Paul Kagame. This is what helped Kigali to send more than 600 Tutsi women working as “Espionage of Romance” or Spies of Passion. They use their beauty to lure rich Tanzanian politicians especially members of parliament to pass laws that favor Kigali and betray their Asili ya Ujamaa.
  • It is also believed that Mike Rwalinda is the one who planned and executed the death of the Tanzania’s most popular opposition members, Reverend Christopher Mtikila who died in a mysterious car crash. The outspoken politician and a critique of Kagame’s regime had a reputation for voicing his opinions and using the courts to tackle various constitutional issues over the years. Rev Mtikila revealed the Kagames plans to overthraw CCM through former prime minister Edward Lowassa. All this was engineered by Mike Rwalinda and Rev. Mtikila was travelling to Dar es Salaam from Njombe when Rwalinda staged a hit and run accident that left Mtikila dead.
  • Mike Rwalinda also is married to a Tanzanian woman whom they have two children together. This helped him to establish contacts in Tanzania and use the RPF money to start a construction company in TZ as a cover up to continue spying for Paul Kagame in Tanzania.
  • All the money to bribe Tanzanian politicians so that Tanzania can have a pro Kagame government has been passed through Mike Rwalinda and the group that own HOTEL KAGAME. The money that built HOTEL KAGAME was the money that had been poured into Tanzania to pay Rwandan Tutsi prostitutes who had been sent to Dodoma by Nziza to come and destabilize Tanzania.
  • During the last Tanzanian presidential campaigns, Paul Kagame invested hugely into the Tanzanian politics. He wanted a change of regime in Tanzania. Because it was not easy to engage in military fight as Kagame had hoped for after the Tanzanian security apparatus uprooted all Kagames point men and women in the Tanzanian government. Kagame decided to use the taxpayers money to bribe his way into the Tanzanian politics. Kigali poured more money into the Edward Lowassa campaign when they realized that CCM government had known it they opted to throw him out of CCM then Lowassa joined opposition to shake up CCM. Mike Rwalinda was part of the entire maneuvers.
  • Recently, the Tanzanian government has realized that Kagame has been playing them games with Rwalinda now they have arrested him and Rwanda want him back.
How did it all happen?
According to INYENYERI NEWS investigation found that Mike Rwalinda has been working with both the Rwanda National Congress (RNC) a Tutsi led opposition to Paul Kagame living in exile and the RPF General James Kabarebe who is also the minister of the Tutsi led Kigali government of the RPF.

In addition, the newsonline continues its stroy saying that Gen James Kabarebe has also organized the arrest of Maj Nkubana who was arrested in Tanzania and later deported to Rwanda. Another person mentioned in their story is that the arrest of Lt Tobulende Joel Mutabazi in Uganda was also organized by Mike Rwalinda together with Rene Rutagungira, Kalisa Innocent among others.

Rwalinda also has been smuggling gold from Eastern DRC into Tanzania. The business of gold trade has been taken care of by his Tanzanian concubine who they have two kids together. During this arrest the Tanzanian security services found Mike Rwalinda with guns as well.

After the Tanzanian government knowing that Mike Rwalinda might be one of those who organized the wrongful death of Reverend Mtikili who was killed in car accident as we have mentioned in hereabove. President Kagame hated Rev. Mtikila because the guy called upon the Tanzanians to understand that there was invasion of Paul Kagame into the Tanzanian system. He also wanted Tanzania to support Rwandan Hutu refugees to go back home so that we dont continue receiving Hutu refugees in Rwanda and yet Rwanda is led by Tutsi minority who took power by force supported by Americans.

The Tanzanian police continue to say that Rwalinda is still under interrogation and questioning. Rwalinda has been working for Kigali under the instructions of Gen James Kabarebe. To deport him to Rwanda would be to commit the same mistakes that the South African government committed when they deported to Rwanda those who assassinated Colonel Karegeya.

We hope that Tanzania will be more careful this time around. Although Magufuli went to Kagame Tutsis never forgive and never forget. RPF still does not like CCM and wont rest until CCM is removed from power in Tanzania
Why tribalism sentiments is allowed in this forum? In Tanzania terms like; "Tutsi", "Hutu", "Haya" "Chagga" etc should only be applied in rituals' discussion.
 
Cmon hizi ni porojo kama za Kangura za akina Hassan Ngeze zilizopelekea mauaji ya Tutsi milioni moja. Huwezi ukaleta source ya Inyenyeri kama source inayokubalika. Tunaijua na washirika wao ambao ni genocidaire. Kagame may be calculating but he is not stupid to mess with Tanzania. Tanzania is just too powerful. Buyoya tried and you know what happened. Tatizo lenu Hutu extremists mnataka sisi tuchukie Kagame kwa kuwa ni Tutsi, mbona hamuongelei udhalimu wa Nkurunzinza nchini Burundi? Habyarimana hakuwa dikteta? Hatutaki chuki.

Bila shaka wewe ni mmoja wao na kiswahili ulichoandika sio cha mtanzania kabisa.
 
TISS kama kweli mnafanya kazi naombeni fatilieni hapa bungeni kuna wanyarwanda watatu wameajiriwa. Na tena wanavyeo vikubwa na mwingine alistaafu mwaka juzi lakini huwa bado anakuja ofisini kusalimia. Anatumia BMW series 3.

Hapa kuna kitu serious.....maana kuna siku walipata msiba na walikua wanajiita wachaga lakini cha ajabu walisafirisha kwenda muleba wakasema ni kwa babu wa marehemu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa tulisoma wote Mzumbe Primary School Morogoro, sasa ni mtu mkubwa Rwanda. Mwingine, huyu alikuwa kanali wa jeshi, habari zake zilivuma sana, alikamatwa alipotaka kutoroka, nimefanya kazi na mkewe. Sasa hivi mkewe amechanganyikiwa.Ni Mtanzania.
Tiss wawe makini, Kagame si rafiki mwema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mtu mpaka kawa kanali si kashajua mengi na kashatuma taarifa nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo mkubwa.... Kama kagame alimwaga hela kwa lowasa,kwa nini mara baada ya uchaguzi tu JPM alienda Rwanda na akadhhirisha kwamba ni rafiki mkubwa wa kagame? Na wamekutana zaidi ya Mara moja! Mpaka wanaombana wataalamu wa IT na kuulizana wapi bombadia zinauzwa,Mara atatuletea wataalamu wa kodi kutoka Rwanda

Mimi naona kagame alihusika na kuuweka utawala huu hapo ulipo,nadhani siri iko karibu kuvuja kuhusu "Rwanda Factor" kwenye uchaguzi wetu

Anayelaumiwa kwa "urafiki" na Lowasa ni UHURU Kenyatta na William Rutto,

Akina Raila mpaka leo wanasubiri fadhila zao,hawaishi kupiga hodi Tanzania,hata kagame huwezi kukubali spies wake wakamatwe hapa bongo wakati anajua wakati wa uchaguzi aliwekeza,hata bandarini nadhani mizigo ya Rwanda iliondolewa baadhi ya procedure fast a


Hivi jamani si ni kagame alimpa ndugu yetu ng'ombe? Halafu leo tuaminishwe eti kagame alikuwa anampa hela za kampeni lowasa?
Una hoja .
 
Back
Top Bottom