Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,154
Kuna hii Tanzania ambayo utaikuta kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuu.
Na kuna Tanzania halisi ambayo viongozi hawataki ifundishwe mashuleni.
Tafakari haya matukio machache huenda utaiona hiyo Tanzania halisi.
1. Mama mmoja alifungwa miaka 22 kwa kosa la kukutwa na kg 1 ya nyama ya swala.
2.Kesi ya aliyekuwa mbunge wa CCM imefutwa na DPP haraka ndani ya miezi 3 tu.
3. Kigogo mmoja aliyekutwa na risasi zimejaa kwenye sanduku, bunduki za uwindaji haramu zisizo na hesabu pamoja na meno ya tembo pasipo halali aliachiwa huru kwa kuambiwa atoe pesa ambayo iko chini ya uweza wake
Na kuna Tanzania halisi ambayo viongozi hawataki ifundishwe mashuleni.
Tafakari haya matukio machache huenda utaiona hiyo Tanzania halisi.
1. Mama mmoja alifungwa miaka 22 kwa kosa la kukutwa na kg 1 ya nyama ya swala.
2.Kesi ya aliyekuwa mbunge wa CCM imefutwa na DPP haraka ndani ya miezi 3 tu.
3. Kigogo mmoja aliyekutwa na risasi zimejaa kwenye sanduku, bunduki za uwindaji haramu zisizo na hesabu pamoja na meno ya tembo pasipo halali aliachiwa huru kwa kuambiwa atoe pesa ambayo iko chini ya uweza wake