MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,914
- 6,389
Heshima kwenu brothers and sister,Nimeguswa sana na yanayoendelea katika university nyingi duniani pande zote na nimeona documentary CNN mda si mrefu nimeguswa hadi nikaingia internet,, HIV cure inatoka mda si mrefu kwa research zinazoendelea duniani.. but vyuo vya bongo vikiongozwa na Udsm siasa tu,
1. Huko Marekani, University of Missisipi Research centre test yao ya functional cure imekuwa successful na wamefanikiwa kumtibu mtoto aliyezaliwa na ukimwi amepona kabisa..for more details pitia hapa Health News & Articles | Healthy Living - ABC News.
Huko Denmark napo Aarhus University Scientist nao Juzi wametangaza kwamba wana miezi michache ya ku confirm New DNA treatment as a Cure HIV ( NA HII NDO IMEITINGISHA DUNIA NA KUONGELEWA SANA KILA SEHEMU NA TEST INAENDA VIZURI SANA)
3. Na University of Berlin nayo imeitingisha dunia baada ya test yao kufanikiwa kumtibu mtu mmoja Timoth Ray Brown maarufu kama berlin patient alieguwa ukimwi toka 1995 na alikuwa katika final stage za AIDS but baada ya treatment aliyopewa kwenye campus hospital ya kupandikizwa CCR5- DELTA 32 mutation ambayo mtu ukiwa nayo hauwezi HIV hawezi kukaa mwilini mwako lazima afe mda anaoingia, yeye hakuzaliwa ma CCR5-DELTA 32 but scientist waliichukua kutoka kwa mtu mwenye nayo na kuipandikiza mwilini mwake na siku kazaa tu HIV wote wakafa, na mpaka leo ndio the only person aliyetibiwa ukimwi hospitali na akapona kabisa bila zengwe,,,,, scientist hao nao bado wapo on test kwa binadamu wengine,,,,,, kuhusu hii treatment maana ina risk kubwa kwenye uhai wa binadamu.
4. University of Benin nigeria, nayo imekuwa university ya kwanza kutoka Africa kutangaza mafanikio ya research yake kwenye HIV cure .. imetangaza february this year kwamba wamegundua cure ya HIV nao wapo kwenye final test maana watu wa 3 zimewakubali na kuwapona kati ya watu wa 5 waliotest na hao waili ni faintly positive na mda wowote wanaweza wakawa negative,, Team hiyo kutoka School of Basic Medical Science -university of Benin Wakiongozwa na DEAN OF THE SCHOOL- PROFFESSOR ISAIAH IBEH wametangaza ushindi wao baada ya kukaa laboratory toka mwaka 2010, proffessor huyu na team yake waliomba wapunguziwe ratiba za darasani ili waweze kufanya research yao vizuri na january mwaka huu baada ya miaka 3 ya kushinda laboratory wakatangaza Dawa waliyoigundua Herbal Drug had undergone successful test na wanategemea ku confirm what they have found by the end of this year 2013.. dawa yao made from plants extraction in nigeria has been exposed to series of medical examination in nigeria and usa na wapo kwenye final test with help from The University of Lagos
5. The university of Cape Town wapo busy na Research ya kuchanganya DNA kumuua HIV, University of Cairo talks about using Bee to eliminate HIV,,, na university zingine kibao duniani watu wapo busy na research za maana kama hizo,,
sisi proffessor wetu wakiongozwa na mkandara wapo busy na research za Redet za kuonesha Magamba watashinda kwa kishindoSasa Jamani wakati university za watu Ma Proffessor wapo busy na Research za maana Kama hizo haapo juu,, ma proffessor wetu wapo busy na siasa eg Proffessor Philemon Sarungi huyu si daktari huyu,, halafu mwisho wa siku tunapigiana kelele tu udsm sijui mzumbe, udom ni vyuo bora
1. Huko Marekani, University of Missisipi Research centre test yao ya functional cure imekuwa successful na wamefanikiwa kumtibu mtoto aliyezaliwa na ukimwi amepona kabisa..for more details pitia hapa Health News & Articles | Healthy Living - ABC News.
Huko Denmark napo Aarhus University Scientist nao Juzi wametangaza kwamba wana miezi michache ya ku confirm New DNA treatment as a Cure HIV ( NA HII NDO IMEITINGISHA DUNIA NA KUONGELEWA SANA KILA SEHEMU NA TEST INAENDA VIZURI SANA)
3. Na University of Berlin nayo imeitingisha dunia baada ya test yao kufanikiwa kumtibu mtu mmoja Timoth Ray Brown maarufu kama berlin patient alieguwa ukimwi toka 1995 na alikuwa katika final stage za AIDS but baada ya treatment aliyopewa kwenye campus hospital ya kupandikizwa CCR5- DELTA 32 mutation ambayo mtu ukiwa nayo hauwezi HIV hawezi kukaa mwilini mwako lazima afe mda anaoingia, yeye hakuzaliwa ma CCR5-DELTA 32 but scientist waliichukua kutoka kwa mtu mwenye nayo na kuipandikiza mwilini mwake na siku kazaa tu HIV wote wakafa, na mpaka leo ndio the only person aliyetibiwa ukimwi hospitali na akapona kabisa bila zengwe,,,,, scientist hao nao bado wapo on test kwa binadamu wengine,,,,,, kuhusu hii treatment maana ina risk kubwa kwenye uhai wa binadamu.
4. University of Benin nigeria, nayo imekuwa university ya kwanza kutoka Africa kutangaza mafanikio ya research yake kwenye HIV cure .. imetangaza february this year kwamba wamegundua cure ya HIV nao wapo kwenye final test maana watu wa 3 zimewakubali na kuwapona kati ya watu wa 5 waliotest na hao waili ni faintly positive na mda wowote wanaweza wakawa negative,, Team hiyo kutoka School of Basic Medical Science -university of Benin Wakiongozwa na DEAN OF THE SCHOOL- PROFFESSOR ISAIAH IBEH wametangaza ushindi wao baada ya kukaa laboratory toka mwaka 2010, proffessor huyu na team yake waliomba wapunguziwe ratiba za darasani ili waweze kufanya research yao vizuri na january mwaka huu baada ya miaka 3 ya kushinda laboratory wakatangaza Dawa waliyoigundua Herbal Drug had undergone successful test na wanategemea ku confirm what they have found by the end of this year 2013.. dawa yao made from plants extraction in nigeria has been exposed to series of medical examination in nigeria and usa na wapo kwenye final test with help from The University of Lagos
5. The university of Cape Town wapo busy na Research ya kuchanganya DNA kumuua HIV, University of Cairo talks about using Bee to eliminate HIV,,, na university zingine kibao duniani watu wapo busy na research za maana kama hizo,,
sisi proffessor wetu wakiongozwa na mkandara wapo busy na research za Redet za kuonesha Magamba watashinda kwa kishindoSasa Jamani wakati university za watu Ma Proffessor wapo busy na Research za maana Kama hizo haapo juu,, ma proffessor wetu wapo busy na siasa eg Proffessor Philemon Sarungi huyu si daktari huyu,, halafu mwisho wa siku tunapigiana kelele tu udsm sijui mzumbe, udom ni vyuo bora