Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Ningumu sana kuelewa lakini inabidi kwani Tanzania ni yetu.Nchi haina Meli,haina Ndege,Haina Basi,Haina Taxi,Haina hata Hospitali ama Shule yenye 100% bila ufadhili.Sasa kuna aja gani ya kuitwa nchi tena huru?