Rais wako alisema hajui, je wewe unajuwa?Hata kama unajuwa sijui utamsaidiaje naye ajuwe.Ebu jaribu tuone.
Mbona kuna misururu mirefu ya magari toka pande zoote za jiji tena foleni inasogea taratibu kiasi wafanyakazi wanaingia maofisini saa 4,hayo si maendeleo? ty,ty,teh,teh.uuuwi!!!
Mbona kuna misururu mirefu ya magari toka pande zoote za jiji tena foleni inasogea taratibu kiasi wafanyakazi wanaingia maofisini saa 4,hayo si maendeleo? ty,ty,teh,teh.uuuwi!!!