Kyaiyembe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 1,706
- 665
CHADEMA kina miaka 20 tangu kiundwe na TANZANIA ina miaka mingapi?.CHADEMA ndo tatizo kuwajaza watu kama wewe ujinga huo
Kwani CHADEMA ina uhusiano gani na kukua kwa uchumi TZ? maana haitekelezi, wala kusimamia sera yoyote kichama kuhusu uchumi, hata inaposhauri inapuuzwa!.