Tanzania haijawahi tokea hii?

Tanzania haijawahi tokea hii?

zagarinojo

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2020
Posts
2,622
Reaction score
2,865
Tanzania nimetafuta movie ya Bongo ambayo Starring ameigiza Kama Raisi wa Nchi isitoshe hata Waziri sidhani kama ipo. Na nyie mnisaidie Kama ilishawahi tokea Hiyo hapa Tanzania.

Hata mtu akisema aigize kama Raisi wa Nchi sidhani kama ataipata location nzuri kwa ajili hiyo movie labda aigizie hotelini.

Dah! Bongo
 
Tanzania nimetafuta movie ya Bongo ambayo Starring ameigiza Kama Raisi wa Nchi isitoshe hata Waziri sidhani Kama ipo....

Na nyie mnisaidie Kama ilishawahi tokea Hiyo hapa Tanzania...
Hata mtu akisema aigize Kama Raisi wa Nchi sidhani Kama ataipata location nzuri kwa ajili hiyo movie labda aigizie hotelini..
Dah Bongo
Kuna movie iliigizwa na mtu ambaye baadae akawa waziri mkuu ilikuwa inaitwa mhogo mchungu...
 
Tatizo pesa na soko, kama wangekuwa na budget kubwa na soko la kueleweka, wangejenga ikulu kiasi na nyingine wangetumia CGI.
 
Ipo ila sikumbuki jina,kacheza rey kogosi,gabo,worpa n.k
 
Hivi kwa siku hizi ikitoea movie ya aina hiyo hapa Bonge wahhusika hawatakamatwa kweli? Nafikiria tu
 
Ipo, ila sijajua jina lake, wamecheza wolper, mobetto, Ray, hashim kambi, kuna mama maarufu sijajua jina lake, .

Hashim na huyo mama, ndo rais na mkewe, wolper mtoto wa rais, Ray ndo anaetak kuoa mtoto wa rais akiwa na cheo ya ndan ofis ya rais.
 
Ipo, ila sijajua jina lake, wamecheza wolper, mobetto, Ray, hashim kambi, kuna mama maarufu sijajua jina lake, .

Hashim na huyo mama, ndo rais na mkewe, wolper mtoto wa rais, Ray ndo anaetak kuoa mtoto wa rais akiwa na cheo ya ndan ofis ya rais.
Kwanini unabadili Avatari kilasaa.

Sent Using I phone 11.
 
Back
Top Bottom