Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,506
- 113,626
Wanabodi,
Miongoni mwa miswada yangu ya kuandaa vipindi vya TV, niliyoiwasilisha kwenye vituo mbalimbali vya Televisheni, ni kipindi kinachoitwa "Vox Populi is Vox Dei", hiki ni kipindi ambacho wewe mtangazaji unawasha kamera na kuwahoji wananchi kuhusu jambo lolote na kuwaacha wa flow, vox pop, kisha unarusha kipindi chako kwa kuweka intro tuu, ya wananchi wanasema nini kuhusu jambo fulani, kisha unawaweka wananchi na kuwaacha waki flow wenyewe.
Leo nilikuwa naangalia hii video clip ya Millard Ayo,
Hiki wanachokisema wananchi hawa ni ukweli mtupu kumhusu rais Magufuli, na hata mimi niliwahi kusema hivi kumhusu rais Magufuli
Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A Man of The People!
Wanabodi, Kadri siku zinavyokwenda, ndivyo Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli anavyozidi kuzikonga nyonyo za Watanzania, wanaopenda reality, simplicity, genuinely na down to earth, ndivyo wanavyozidi kumkubali huyu jamaa, na kitendo cha leo kupiga simu kwenye kipindi cha Clouds TV cha 360...www.jamiiforums.com
Nimewasikiliza wananchi hawa wanavyo flow kumhusu rais Magufuli, nimeguswa na jinsi wananchi hawa wanavyosema kumhusu rais Magufuli, Wananchi hawa Wakiwemo wana Chadema, Wasema "Tanzania Haijawahi Kuwa na Rais Mwenye Upendo Kama Magufuli", Wamsifu Kuwa ni Mtu wa Watu, Wampongeza na Kumuombea!.
Unaweza kukuta enzi za Nyerere, wananchi wa Butiama wangeulizwa, wangejibu the same, Enzi za Mwinyi, wananchi wa Mkuranga wangelizwa, wangejibu the same. Enzi za Mkapa, Chingaz wangeulizwa, wangejibu the same. Enzi za JK, wananchi wa Msoga wangeulizwa nao vile vile.
Kinachomatter kwenye "vox pop" ni kusikiliza sauti za wananchi wanasema nini, bila kuingiza opinion yako. Wananchi wakisema Tanzania haijawahi kutokea rais mwenye upendo kama Rais Magufuli, huo ndio ukweli wa wananchi wale wa eneo lile, hivyo natoa wito kwa wazalendo wa kweli wa taifa hili, tuungane na wananchi hao, kumuombea rais Mugufuli, awe ni kweli mwenye upendo haujapata kutokea, ili kauli hizi za rais mwenye upendo haijapata kutokea, zitokee pande zote za Tanzania nzima, na sio zitokee pande fulani fulani tuu.
Hivyo katika kutengeneza Vox Pop, unapaswa kuchukua maoni ya wananchi kutoka maeneo mbali mbali, hivyo katika maandalizi ya vipindi vyangu vya "Vox Populi, Vox Dei", nimeanza na kukusanya hizi clips mbalimbali za kukusanya maoni ya wananchi wanasema nini, vipindi hivi, nitaanza kuvirusha hewani kuanzia mwezi 8 mwakani baada ya kuvunjwa kwa Bunge.
Kama ni kweli sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, then wewe ni nani upingane na Mungu?
Nawatakia Jumatano Njema.
P.
Umeongea vyema sana ila hapo ndipo ulipolosea Mkuu. Huyu unayemsemea ni mtu wa watu akienda huko kanda ya ziwa lakini siyo sehemu zingine. Kuna kauli nilishawahi kusikia ametoa akiwa huko mwanza kuwa naomba kunukuu" Hawa ndiyo walinichagua msiwabomolee nyumba" but angalia kilichofanyika Dar es salaam.Kama ni kweli sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, then wewe ni nani upingane na Mungu?
Tatizo lako umekuwa mtu wa kujipendekeza sana brother! Nilikuwa nakukubali miaka ya nyuma, lkni sikuhizi naona kama unatafuta huruma ya uteuzi!!! Brother hupati, kujipendekeza kubaya sana!Kama ni kweli sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, then wewe ni nani upingane na Mungu?
Nawatakia Jumatano Njema.
P
Wanabodi,
Miongoni mwa miswada yangu ya kuandaa vipindi vya TV, niliyoiwasilisha kwenye vituo mbalimbali vya Televisheni, ni kipindi kinachoitwa "Vox Populi is Vox Dei", hiki ni kipindi ambacho wewe mtangazaji unawasha kamera na kuwahoji wananchi kuhusu jambo lolote na kuwaacha wa flow, vox pop, kisha unarusha kipindi chako kwa kuweka intro tuu, ya wananchi wanasema nini kuhusu jambo fulani, kisha unawaweka wananchi na kuwaacha waki flow wenyewe.
Leo nilikuwa naangalia hii video clip ya Millard Ayo,
Hiki wanachokisema wananchi hawa ni ukweli mtupu kumhusu rais Magufuli, na hata mimi niliwahi kusema hivi kumhusu rais Magufuli
Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A Man of The People!
Wanabodi, Kadri siku zinavyokwenda, ndivyo Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli anavyozidi kuzikonga nyonyo za Watanzania, wanaopenda reality, simplicity, genuinely na down to earth, ndivyo wanavyozidi kumkubali huyu jamaa, na kitendo cha leo kupiga simu kwenye kipindi cha Clouds TV cha 360...www.jamiiforums.com
Nimewasikiliza wananchi hawa wanavyo flow kumhusu rais Magufuli, nimeguswa na jinsi wananchi hawa wanavyosema kumhusu rais Magufuli, Wananchi hawa Wakiwemo wana Chadema, Wasema "Tanzania Haijawahi Kuwa na Rais Mwenye Upendo Kama Magufuli", Wamsifu Kuwa ni Mtu wa Watu, Wampongeza na Kumuombea!.
Unaweza kukuta enzi za Nyerere, wananchi wa Butiama wangeulizwa, wangejibu the same, Enzi za Mwinyi, wananchi wa Mkuranga wangelizwa, wangejibu the same. Enzi za Mkapa, Chingaz wangeulizwa, wangejibu the same. Enzi za JK, wananchi wa Msoga wangeulizwa nao vile vile.
Kinachomatter kwenye "vox pop" ni kusikiliza sauti za wananchi wanasema nini, bila kuingiza opinion yako. Wananchi wakisema Tanzania haijawahi kutokea rais mwenye upendo kama Rais Magufuli, huo ndio ukweli wa wananchi wale wa eneo lile, hivyo natoa wito kwa wazalendo wa kweli wa taifa hili, tuungane na wananchi hao, kumuombea rais Mugufuli, awe ni kweli mwenye upendo haujapata kutokea, ili kauli hizi za rais mwenye upendo haijapata kutokea, zitokee pande zote za Tanzania nzima, na sio zitokee pande fulani fulani tuu.
Hivyo katika kutengeneza Vox Pop, unapaswa kuchukua maoni ya wananchi kutoka maeneo mbali mbali, hivyo katika maandalizi ya vipindi vyangu vya "Vox Populi, Vox Dei", nimeanza na kukusanya hizi clips mbalimbali za kukusanya maoni ya wananchi wanasema nini, vipindi hivi, nitaanza kuvirusha hewani kuanzia mwezi 8 mwakani baada ya kuvunjwa kwa Bunge.
Kama ni kweli sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, then wewe ni nani upingane na Mungu?
Nawatakia Jumatano Njema.
P.
Hiyo swaga ya wapiga deal imeshabuma kitambo!!!JPM mwenyewe aliona kuna shida ndio maana akawaita wafanyabiashara kuzungumza nao!Hii ilikuwa na mitizamo kuwa waliokuwa wakifunga buashara ni wezi na wapiga deal!!!!Huyu ndo Rais anayetupeleka kwenye Uchumi sahihi kama Nchi,Shida wezi na wapiga deal wote hili hawalikubali kabisa
Tuondolee UPUMBAVU wako humu!
Leo ni jumatano mkuu?Timing ya kuvirusha mwakani c sahihi!Maana ni full kutaka kujipendekeza!Virushe kabla ya bunge kuvunjwa!Wanabodi,
Miongoni mwa miswada yangu ya kuandaa vipindi vya TV, niliyoiwasilisha kwenye vituo mbalimbali vya Televisheni, ni kipindi kinachoitwa "Vox Populi is Vox Dei", hiki ni kipindi ambacho wewe mtangazaji unawasha kamera na kuwahoji wananchi kuhusu jambo lolote na kuwaacha wa flow, vox pop, kisha unarusha kipindi chako kwa kuweka intro tuu, ya wananchi wanasema nini kuhusu jambo fulani, kisha unawaweka wananchi na kuwaacha waki flow wenyewe.
Leo nilikuwa naangalia hii video clip ya Millard Ayo,
Hiki wanachokisema wananchi hawa ndio vox pop yenyewe, huu ni ukweli mtupu wa maoni ya wananchi hawa kumhusu rais Magufuli, na hata mimi niliwahi kusema hivi kumhusu rais Magufuli
Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A Man of The People!
Wanabodi, Kadri siku zinavyokwenda, ndivyo Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli anavyozidi kuzikonga nyonyo za Watanzania, wanaopenda reality, simplicity, genuinely na down to earth, ndivyo wanavyozidi kumkubali huyu jamaa, na kitendo cha leo kupiga simu kwenye kipindi cha Clouds TV cha 360...www.jamiiforums.com
Nimewasikiliza wananchi hawa wanavyo flow kumhusu rais Magufuli, nimeguswa na jinsi wananchi hawa wanavyosema kumhusu rais Magufuli, Wananchi hawa Wakiwemo wana Chadema, Wasema "Tanzania Haijawahi Kuwa na Rais Mwenye Upendo Kama Magufuli", Wamsifu Kuwa ni Mtu wa Watu, Wampongeza na Kumuombea!. Kila mtu ana definition yake kuhusu upendo mkubwa haijawahi kutokea, kwa wengine, kitendo tuu cha msafara wa rais kusimama, rais kushuka na kuwasalimia watu, kwao ni upendo mkubwa haijapata kutokea. Kwenye vipindi vyangu, vox pop yangu ingekuwa ni upendo katika nini kwa maslahi ya taifa, na sii upendo tuu wa kusalimiana.
Unaweza kukuta enzi za Nyerere, wananchi wa Butiama wangeulizwa, wangejibu the same, Enzi za Mwinyi, wananchi wa Mkuranga wangelizwa, wangejibu the same. Enzi za Mkapa, Chingaz wangeulizwa, wangejibu the same. Enzi za JK, wananchi wa Msoga wangeulizwa nao vile vile.
Kinachomatter kwenye "vox pop" ni kusikiliza sauti za wananchi wanasema nini, bila kuingiza opinion yako. Wananchi wakisema Tanzania haijawahi kutokea rais mwenye upendo kama Rais Magufuli, huo ndio ukweli wa wananchi wale wa eneo lile, hivyo natoa wito kwa wazalendo wa kweli wa taifa hili, tuungane na wananchi hao, kumuombea rais Mugufuli, awe ni kweli mwenye upendo haujapata kutokea, ili kauli hizi za rais mwenye upendo haijapata kutokea, zitokee pande zote za Tanzania nzima, na sio zitokee pande fulani fulani tuu.
Hivyo katika kutengeneza Vox Pop, unapaswa kuchukua maoni ya wananchi kutoka maeneo mbali mbali, hivyo katika maandalizi ya vipindi vyangu vya "Vox Populi, Vox Dei", nimeanza na kukusanya hizi clips mbalimbali za kukusanya maoni ya wananchi wanasema nini, vipindi hivi, nitaanza kuvirusha hewani kuanzia mwezi 8 mwakani baada ya kuvunjwa kwa Bunge.
Kama ni kweli sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, then wewe ni nani upingane na Mungu?
Nawatakia Jumatano Njema.
P.
Hahahah nmecheka sanaTuondolee UPUMBAVU wako humu!