“Tanzania governor” Makonda on CNN for all the wrong reasons

Look what we have here! So Paul Makonda is now a governor? Wtf!!!

How CNN has fallen! Once upon a time it used to be a respectable news organization. But that’s once upon a time.

Now they are just an anti-Trump left-wing, fake news pushing, low-rating cable network subsidiary organization of the Democratic party.

They can’t even get a simple basic fact like Paul Makonda’s title right! Isn’t that fake news????

What would ‘Fredo’ Chris Cuomo say about this? 🤣🤣


Strange for someone who claims to know English could come with this kind of question! So, by their functions a high commission is different from an embassy, right?
 
Nyani anajua kuliko CNN...Leo CNN yakijinga ila trump...kiufupi wanaripotiwa wamarekani na hicho cheo 'regional commissioner' wasingekielewa so the news wouldn't make sense to them,CNN is basically reporting to Americans then developed countries lastly and least to people like you Nyani!! Kuwa mwerevu unapoongelea watu waliokutangulia kikilakitu millions of miles you little boy...little boy (MTU yyte mwenye ubishi wa kitoto anaelezwa haelewi!)
 
Nyani anajua kuliko CNN...Leo CNN yakijinga ila trump...kiufupi wanaripotiwa wamarekani na hicho cheo 'regional commissioner' wasingekielewa so the news wouldn't make sense to them,CNN is basically reporting to Americans then developed countries lastly and least to people like you Nyani!! Kuwa mwerevu unapoongelea watu waliokutangulia kikilakitu millions of miles you little boy...little boy (MTU yyte mwenye ubishi wa kitoto anaelezwa haelewi!)
Kinachotucost watanzania ni kukariri maisha MTU anataka jambo lifanywe na MTU mwingine kama anavyojua yeye alafu anabisha ni ngumu sana kujifunza
 
Nyani anajua kuliko CNN...Leo CNN yakijinga ila trump...kiufupi wanaripotiwa wamarekani na hicho cheo 'regional commissioner' wasingekielewa so the news wouldn't make sense to them,CNN is basically reporting to Americans then developed countries lastly and least to people like you Nyani!! Kuwa mwerevu unapoongelea watu waliokutangulia kikilakitu millions of miles you little boy...little boy (MTU yyte mwenye ubishi wa kitoto anaelezwa haelewi!)

Kwa Wamarekani ukisema gavana wenzio wanaelewa tofauti kabisa.

Wanaelewa ni mtu anayegombea hiyo nafasi na kuchaguliwa na wapiga kura.

Wanaelewa ni mtu anayetoa mapendekezo ya sera kwenye bunge [la jimbo].

Wanaelewa ni mtu anayeongoza serikali ya jimbo kwa kufanya teuzi mbalimbali za serikali yake.

Wanaelewa ni mtu ambaye saini yake ndo inaifanya sheria mpya iwe sheria na kuanza kufanya kazi.

Wanaelewa kuwa ni mtu mwenye uwezo wa kura ya veto.

Wanaelewa yeye ndo amiri jeshi mkuu wa national guard.

Wanaelewa ni mtu mwenye mamlaka ya kuitisha vikao maalumu vya bunge la jimbo.

Wanaelewa ni mtu mwenye mamlaka ya kuweza kutoa misamaha kwa wafungwa wa majimbo.

Wanaelewa ni mtu mwenye uwezo wa kuitisha chaguzi maalumu ili kujaza nafasi za baadhi ya vyeo vya kuchaguliwa vilivyo wazi.

Je, mkuu wa mkoa wa Dar ana majukumu kama hayo?
 
Kinachotucost watanzania ni kukariri maisha MTU anataka jambo lifanywe na MTU mwingine kama anavyojua yeye alafu anabisha ni ngumu sana kujifunza
Kweli kabisa usemayo wasomi wetu niwale waloweza kukariri saana ndio maana tukija kwenye uhalisia wasomi wanaboronga mpaka std seven wanawashangaa.
 
Look what we have here! So Paul Makonda is now a governor? Wtf!!!

How CNN has fallen! Once upon a time it used to be a respectable news organization. But that’s once upon a time.

Now they are just an anti-Trump left-wing, fake news pushing, low-rating cable network subsidiary organization of the Democratic party.

They can’t even get a simple basic fact like Paul Makonda’s title right! Isn’t that fake news????

What would ‘Fredo’ Chris Cuomo say about this? 🤣🤣

huwezi jua , labda "Daddy" ndiyo alivyomtambulisha huko kwa mabeberu.
 
Kwa Wamarekani ukisema gavana wenzio wanaelewa tofauti kabisa.

Wanaelewa ni mtu anayegombea hiyo nafasi na kuchaguliwa na wapiga kura.

Wanaelewa ni mtu anayetoa mapendekezo ya sera kwenye bunge [la jimbo].

Wanaelewa ni mtu anayeongoza serikali ya jimbo kwa kufanya teuzi mbalimbali za serikali yake.

Wanaelewa ni mtu ambaye saini yake ndo inaifanya sheria mpya iwe sheria na kuanza kufanya kazi.

Wanaelewa kuwa ni mtu mwenye uwezo wa kura ya veto.

Wanaelewa yeye ndo amiri jeshi mkuu wa national guard.

Wanaelewa ni mtu mwenye mamlaka ya kuitisha vikao maalumu vya bunge la jimbo.

Wanaelewa ni mtu mwenye mamlaka ya kuweza kutoa misamaha kwa wafungwa wa majimbo.

Wanaelewa ni mtu mwenye uwezo wa kuitisha chaguzi maalumu ili kujaza nafasi za baadhi ya vyeo vya kuchaguliwa vilivyo wazi.

Je, mkuu wa mkoa wa Dar ana majukumu kama hayo?
Wanaelewa ilivyo kwa gavana wa marekani sio lazima iwe kwa magavana wote duniani...
 
Wewe umejuaje kuwa hivyo ndivyo wanavyoelewa? Au unasadiki tu?

Paul Makonda siyo gavana wa Dar.
Ukifikia hapo sasa rejea dictionary alafu tumia fikra huru "usikremishe". Wenzetu hawakariri Nyani...ndomana wako dunia yao hahahahaaa uwe unaenda mapumzikoni Kule kidogo.
 
Tunapotezeana muda kwa mada za kijinga kabisa, sasa kisichoeleweka hapo ni kitu gani? Kumuita Makonda governor imekuwa nongwa? Makonda ni rais wa Dar kama ujui sasa! Ni rais ukitaka povuka!
 
Kwaio hili lijamaa linashindwa kutofautisha British English na American English...jinga kweli hili...
 
Aise, CNN sidhani kama wajinga kihivyo. For the purpose of understanding of its global viewers, our RCs are governors. Wakuu wa wilaya sio. Nani nje ya Tz angeelewa Regional Commissioner!
You nailed it! Japo najua nyaningabu atajifanya ni mwerevu kuliko waandishi 'proffesionals' wa CNN. Otherwise ni mwendelezo wa Watanzania kuongozwa na emotions kuliko uhalisia , kwa sababu anaichukia CNN basi analeta 'bluffs' zake. Nchi hii haiendelei kwa sababu huwa tunaongozwa na mahaba na mapenzi sio uhalisia .
 
Back
Top Bottom