CNN ni chombo cha Wamarekani.Ni sawa na kusema Cabinet Secretary sio Minister, hizo ni terminologies tu ni kama car and motorcar.
Yeah it's like a car's bonnet while it's a hood. vacation while it's holidays etc.CNN ni chombo cha Wamarekani.
Wamarekani ukiwaambia "Regional Commissioner" watakuuliza "What's that?".
Ukiwaambia "governor", wanaelewa mara moja unaongelea level gani ya utawala.
Mamlaka ya raisi kwa mujibu wa katiba ya Tz lazima yafanane na ya raisi wa Marekani kwa mujibu wa katiba yao? Lakin wote si ni maraisiWewe umejuaje kuwa hivyo ndivyo wanavyoelewa? Au unasadiki tu?
Paul Makonda siyo gavana wa Dar.
Kusema ukweli ilipaswa tutumie governor badala ya RCI thought you good in english, nothing wrong there.View attachment 1180866
Katika kupitia comments mbalimbali nimegundua kwamba Watanzania wengi wanakariri mambo badala ya kuelewa haijalishi Wana viwango gani vya elimu.Tushirikiane kufanya tafiti kuweza kufahamu ni mataifa mangapi yenye kutumia Regional Commissioner!
Tuweze ona CNN wangeeleweka?
Tanzania yupo Rais lakini UK yupo prime minister anayefanya kazi sawa na ile anayofanya Rais kwa Tanzania.
👍CNN ni chombo cha Wamarekani.
Wamarekani ukiwaambia "Regional Commissioner" watakuuliza "What's that?".
Ukiwaambia "governor", wanaelewa mara moja unaongelea level gani ya utawala.
I don't think we should blame CNN that much, nor use the "translation error" as a manifestation of CNN fall from fame.Look what we have here! So Paul Makonda is now a governor? Wtf!!!
How CNN has fallen! Once upon a time it used to be a respectable news organization. But that’s once upon a time.
Now they are just an anti-Trump left-wing, fake news pushing, low-rating cable network subsidiary organization of the Democratic party.
They can’t even get a simple basic fact like Paul Makonda’s title right! Isn’t that fake news????
What would ‘Fredo’ Chris Cuomo say about this? 🤣🤣
Tanzania governor wants to create a national database for married men in a bid to curb infidelity | CNN
The governor of Tanzania's largest city has announced a plan to create and publish a national database of married men to protect women from "heart breaks."www-m.cnn.com
Hata marais wanatofautiana mamlaka, raid wa Tanzania hawez fanana kimamlaka na raid wa Kenya au south Africa japokuwa wrote ni maraisi, sawa Kwa governor na mkuu wa mkoa, tatizo lako unakariri maisha jifunze kuwa muelewaKwa Wamarekani ukisema gavana wenzio wanaelewa tofauti kabisa.
Wanaelewa ni mtu anayegombea hiyo nafasi na kuchaguliwa na wapiga kura.
Wanaelewa ni mtu anayetoa mapendekezo ya sera kwenye bunge [la jimbo].
Wanaelewa ni mtu anayeongoza serikali ya jimbo kwa kufanya teuzi mbalimbali za serikali yake.
Wanaelewa ni mtu ambaye saini yake ndo inaifanya sheria mpya iwe sheria na kuanza kufanya kazi.
Wanaelewa kuwa ni mtu mwenye uwezo wa kura ya veto.
Wanaelewa yeye ndo amiri jeshi mkuu wa national guard.
Wanaelewa ni mtu mwenye mamlaka ya kuitisha vikao maalumu vya bunge la jimbo.
Wanaelewa ni mtu mwenye mamlaka ya kuweza kutoa misamaha kwa wafungwa wa majimbo.
Wanaelewa ni mtu mwenye uwezo wa kuitisha chaguzi maalumu ili kujaza nafasi za baadhi ya vyeo vya kuchaguliwa vilivyo wazi.
Je, mkuu wa mkoa wa Dar ana majukumu kama hayo?
Huyu jamaaa amepata alichokuwa anakitaka, kuwa lwenue Headlines
We nae, nilifikiri the wrong reasons are what the "Governor" uttered, kumbe it is what title they gave him. Walewale tu. This whole foolishness coming out of his mouth is to divert attention from Eric KabenderaLook what we have here! So Paul Makonda is now a governor? Wtf!!!
How CNN has fallen! Once upon a time it used to be a respectable news organization. But that’s once upon a time.
Now they are just an anti-Trump left-wing, fake news pushing, low-rating cable network subsidiary organization of the Democratic party.
They can’t even get a simple basic fact like Paul Makonda’s title right! Isn’t that fake news????
What would ‘Fredo’ Chris Cuomo say about this? 🤣🤣
Tanzania governor wants to create a national database for married men in a bid to curb infidelity | CNN
The governor of Tanzania's largest city has announced a plan to create and publish a national database of married men to protect women from "heart breaks."www-m.cnn.com
Msamehe tu, maana shule yake na ya M ni sawa.I thought you good in english, nothing wrong there.View attachment 1180866