zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Katika hali ya machafuko amma ya kiasa amma ya kijamii kwenye nchi, waandishi wa habari na hususan wahariri wa magazeti wanatakiwa wawe makini sana na kuwa mstari wa mbele kutuliza machafuko kwa kuandika na kutoa habari ambazo zitaelimisha zaidi na kupunguza machafuko, kwani wananchi wengi huamini kila kiandikwacho kwenye magazeti kuwa ndio ukweli.
Nimesoma kwa masikitiko makubwa kabisa, kuwa magazeti ya Tanzania Daima na Nipashe yameweka picha moja inayoonesha mtu akitokwa na damu na kuandika (caption) kuwa picha hiyo ni ya machafuko ya Zanzibar ilhali hiyo picha ni ya zamani na ilipigwa Morogoro.
Soma zaidi "Uchochezi wa Kutisha Zanzibar" ujionee jinsi haya magazeti yanavyofanya ufataani: annuur-116
Nimesoma kwa masikitiko makubwa kabisa, kuwa magazeti ya Tanzania Daima na Nipashe yameweka picha moja inayoonesha mtu akitokwa na damu na kuandika (caption) kuwa picha hiyo ni ya machafuko ya Zanzibar ilhali hiyo picha ni ya zamani na ilipigwa Morogoro.
Soma zaidi "Uchochezi wa Kutisha Zanzibar" ujionee jinsi haya magazeti yanavyofanya ufataani: annuur-116