Tanzania Daima na Nipashe ni Mafataani...

zomba

JF-Expert Member
Nov 27, 2007
17,240
3,910
Katika hali ya machafuko amma ya kiasa amma ya kijamii kwenye nchi, waandishi wa habari na hususan wahariri wa magazeti wanatakiwa wawe makini sana na kuwa mstari wa mbele kutuliza machafuko kwa kuandika na kutoa habari ambazo zitaelimisha zaidi na kupunguza machafuko, kwani wananchi wengi huamini kila kiandikwacho kwenye magazeti kuwa ndio ukweli.

Nimesoma kwa masikitiko makubwa kabisa, kuwa magazeti ya Tanzania Daima na Nipashe yameweka picha moja inayoonesha mtu akitokwa na damu na kuandika (caption) kuwa picha hiyo ni ya machafuko ya Zanzibar ilhali hiyo picha ni ya zamani na ilipigwa Morogoro.

Soma zaidi "Uchochezi wa Kutisha Zanzibar" ujionee jinsi haya magazeti yanavyofanya ufataani: annuur-116
 
Katika vyombo vya habari vinavyochochea na kufitinisha watanzania kidini ni gazeti la al nuur na radio Iman daima hueneza chuki za wazi dhidi ya wakristo na naamini ingekuwa ni za wakristo, basi waislamu wangeandamana kitambo sana. Back to topic
1. Kwa mtazamo, wangu cjaona niamini au nisiamini coz hao al Nuur huwa wanabase upande wa kuutetea uislam na waislam na kukandamiza wakristo

2. Huenda ni Kweli picha hiyo imepigwa eneo tajwa maana matukio ya hivyo yalitokea. Maana magazeti yote tajwa hayachapishwi na mtu mmoja na Hayana uhusianao wa direct kuchapa habari inayofanana inanifanya niyaamini.
 
Mzalendo net imekuwa ni ubao kwa watu wa Zanzibar kukashifu Tanganyika.
 
zomba, ufataani ndio nini? Halafu Alnuur si mlengo wake na maandishi yake unajulikana unaegemea upande gani? Binafsi nafikiri ungetumia reference nyingine.
 
Last edited by a moderator:
Katika vyombo vya habari vinavyochochea na kufitinisha watanzania kidini ni gazeti la al nuur na radio Iman daima hueneza chuki za wazi dhidi ya wakristo na naamini ingekuwa ni za wakristo, basi waislamu wangeandamana kitambo sana. Back to topic
1. Kwa mtazamo, wangu cjaona niamini au nisiamini coz hao al Nuur huwa wanabase upande wa kuutetea uislam na waislam na kukandamiza wakristo

2. Huenda ni Kweli picha hiyo imepigwa eneo tajwa maana matukio ya hivyo yalitokea. Maana magazeti yote tajwa hayachapishwi na mtu mmoja na Hayana uhusianao wa direct kuchapa habari inayofanana inanifanya niyaamini.

No research No right to speak.
 
zomba, ufataani ndio nini? Halafu Alnuur si mlengo wake na maandishi yake unajulikana unaegemea upande gani? Binafsi nafikiri ungetumia reference nyingine.

Ufataani ni kutoa habari sehemu moja ukazipeleka kwingine halafu ukazijaza uongo kwa nia kabisa ya kuwafitinisha watu.

Kutoa picha ya Morogoro na kusema ni ya Unguja na picha hiyo ni ya damu, ni ufataani mkubwa sana.

Kuhusu reference, hivi Annur wakazue kuhusu Tanzania Daima na Nipashe hawaogopi kufungiwa / kushtakiwa? Fikiri!
 
zomba , embu elewesha watu maana ya kiswahili ulichotumia , nini maana ya "mafataani" ??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom