Tanzania Commandos show

Kiukweli inapendeza sana, tena wote wameiwakilisha vizuri rangi nyeusi iliyopo katika bendera yetu.
Nimepata shauku ya kujua kama huyo jamaa picha ya pili alifanikiwa kuvunja hayo matofali au lah......
 
mazingaombwe kwani hamuyajui toka lini ngumi ikavunja jiwe duuh! kweli wabongo vichwa panzi mnadanganyika hivi hivi
 
Tanzania ina makomandoo wangapi?
 
Alivunja. Ilionyeshwa live na tv. But dont try it at home.
Kiukweli inapendeza sana, tena wote wameiwakilisha vizuri rangi nyeusi iliyopo katika bendera yetu.
Nimepata shauku ya kujua kama huyo jamaa picha ya pili alifanikiwa kuvunja hayo matofali au lah......
 
endelea kuamini hivyo hivyo utakuja kujua muda umeenda
<script charset="UTF-8" src="chrome://hdv/content/hdv.js" type="application/javascript"></script>
 
Acheni utani hawa jamaa.muulizeni Kagame na waasi wa Anjuani wanajua mziki wao.Geshi letu chezea mengine sio JWTZ.Kagame alifahamu vizuri sana labda ngoja aje hapa jamvini awathibitishie
 
mazingaombwe kwani hamuyajui toka lini ngumi ikavunja jiwe duuh! kweli wabongo vichwa panzi mnadanganyika hivi hivi

Nakuona wewe kama ifuatavyo: (1) haujui mazoezi(2)mvivu wa kufanya mazoezi(3)mpuuzi fulani ambaye uko kama Thomaso usiyeamini hata ukiona(4) Mtoto wa mama umelelewa katika maisha yasiyo ya kujishughulisha. Kwa taarifa yako dhana ya martial art kwa mjinga kama wewe huwezi kuamini kama mkono wa binadamu ulijazwa mazoezi unaweza kukunja nondo
 
Kiukweli inapendeza sana, tena wote wameiwakilisha vizuri rangi nyeusi iliyopo katika bendera yetu.
Nimepata shauku ya kujua kama huyo jamaa picha ya pili alifanikiwa kuvunja hayo matofali au lah......

Alivunja
 
mazingaombwe kwani hamuyajui toka lini ngumi ikavunja jiwe duuh! kweli wabongo vichwa panzi mnadanganyika hivi hivi

Mkuu hauwezi kutofautisha jiwe na tofali, na kwa ujasiri kabisa unawaita webongo vichwa panzi!


Na martial art ni discipline ya hali ya juu mkuu, ni zaidi ya mazoezi. Kwa mtu mvivu ni msamiati.
 
hayo mambo niya kizamani sana karne ya saivi kwenye war utamkamata nani umpige ngumi wangekua wanamazoezi ukipingwa risasi haingi hapo hata mimi ningewakubali lakini kwakuvunja tofari watasubiri sana, hizo mambo huku kitaa watu wanafanya sana.
 
Mkuu huyo ni mvivu wa kufikiri,usiombe kuzaa mtoto kama huyo,,full of negativity,,coward, and idiot.
 
kwa hiyo kwa akili yako marekani kwa sababu wana technologia,,wanawapiga wataliban kwa technolojia,,wao hawana makomando... wewe ni idiot,,pathetic to be specific
Upuuz mtupu watuonyeshe ukomando kwenye kulinda kundi dogo la tembo na rasilimali za nchi,kuvunja tofali kunasaidia nini kwenye dunia ya kisasa inayotawaliwa na war machines(technology).
 
Kiukweli inapendeza sana, tena wote wameiwakilisha vizuri rangi nyeusi iliyopo katika bendera yetu.
Nimepata shauku ya kujua kama huyo jamaa picha ya pili alifanikiwa kuvunja hayo matofali au lah......

Hii ni ya siku za nyuma, ya jana jamaa walivaa tshirt nyeusi, ila ilipendeza mno, hawa jamaa ni watu wa ajabu sana, mtu anapigwa na mpini kichwani hadi unavunjika, kama haitoshi ili kuonyesha yuko fiti akatoa kofia akapigwa na mpini kwenye kipara, mpini ukavunjika. Mwingike akawekewa matofali mawili ya block cement kwenye kifua halafu jamaaa akaja na nyundo ya kupasulia mawe akayavunja yote mawili kwa pamoja kifuani kwa jamaa.
 
Wapuuz tu hawa, hivi katika dunia ya leo makomandoo bado wapo kwenye akili za kuvunja matofali?
 
Wapuuz tu hawa, hivi katika dunia ya leo makomandoo bado wapo kwenye akili za kuvunja matofali?
Ukweli ni kwamba hapa wewe ndio unaonekana MPUUZI.....

Nina nani amekwambia Ukomandoo ni kuvunja matofali?......Katika picha na maelezo yote hapo juu umeliona hilo tu la kuvunja matofali!!....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…