Tanzania benki zanawiri

Upuuzi mwingine wa CCM, ‘bi-tozo’ amekuwa asset manager sasa wa kila bank Tanzania.

Bank zenyewe sehemu kubwa ya mikopo yao ni payday lending na serikali inawakata watumishi juu kwa juu, kuna risk hapo kweli.

Kikubwa hapo ni taasisi za serikali kuweka hela zao kwenye banks savings, na hela hizo hizo kutumika kununulia bonds za serikali.
 
Kwa hiyo Serikali ndio imewalipia hao ma defaulter ?
Deni lake tu la Tirion 107 linamshinda ndio aje awalipie waliokwepa kulipa.
Halafu huelewi kitu wadeni wakubwa wa mabenki ni michezo ya ndani .
ukifuatili mahakama kuu kitengo cha biashara kuna kesi nyingi sana mabenki yanashtaki watu walioshindwa kulipa mikopo waliokopa halafu benki zinashindwa kesi.
Nilikutana na kesi ya ajabu eti benki imempeleka mdai wao wa mkopo mahakamani inamlalamikia mdaiwa aliweka dhamana mali yenye thamani ndogo kulipo mkopo aliopewa .
Kwa hiyo mama yenu atakuwa kawalipia wahuni madeni yao kama ni kweli , ila hata kama huyu mazeri ni kiazi sizani kama atakuwa kiazi namnahiyo
 
Nakuamini siku zote
 
Pesa ipo ukiona haya
 
Awamu ya sita kazi imafanyoka
 
Kazi na utu sio
 
hii ni kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…