Tanzania Bara na Zanzibar waunganishe ligi

Kulingana na mfumo wa serikali zetu haitawezekana maana Zanzibar wanapigania wapate kiti umoja wa mataifa, pia wanapigania wapate ushiriki wa kombe la Africa na Dunia. Hivyo kuunganisha Ligi kutakwamisha jitihada zao na wao hawawezi kukubali.
Kama unataka hili shauri serikali yetu upande wa Bara na Visiwani uunde serikali moja tofauti na hapo haitawezekana na haitakaa iwezekane
 
Kulingana na mfumo wa serikali zetu haitawezekana maana Zanzibar wanapigania wapate kiti umoja wa mataifa, pia wanapigania wapate ushiriki wa kombe la Africa na Dunia. Hivyo kuunganisha Ligi kutakwamisha jitihada zao na wao hawawezi kukubali.
Kama unataka hili shauri serikali yetu upande wa Bara na Visiwani uunde serikali moja tofauti na hapo haitawezekana na haitakaa iwezekane
Nimekusoma mkuu
 
Kulingana na mfumo wa serikali zetu haitawezekana maana Zanzibar wanapigania wapate kiti umoja wa mataifa, pia wanapigania wapate ushiriki wa kombe la Africa na Dunia. Hivyo kuunganisha Ligi kutakwamisha jitihada zao na wao hawawezi kukubali.
Kama unataka hili shauri serikali yetu upande wa Bara na Visiwani uunde serikali moja tofauti na hapo haitawezekana na haitakaa iwezekane
Ile Super League ya miaka ya themanini ilishia wapi? Timu mbili toka Bara na timu mbili Toka Visiwani
 
Mpira wa Zenji kwa sasa ni hali jojo, kuungana na ligi ya bara kungewasaidia kupandisha ubora wao ila haitawezekana sababu ya inshu ya kisiasa, Zenji wanataka uwakilisha CAF na FIFA, sasa kuungana na bara ni kama kuua hizo ndoto za kisiasa.
 
Mkuu unajua umbali wa kutoka Pemba kwenda Kagera ? Au Pemba hadi Kigoma?
Umeshajiuliza huu ya harakati za Zanzibar kuwa mwanachama kamili wa FIFA na vikwazo vya Muungano wetu kwenye harakati zao ? Umejiuliza vizuri juu ya wasivyokubali kudhaminiwa na makapuni ya Vileo , Tumbaku na kamali ? Vipi ikitokea makampuni ya kitimoto yakaamua kudhamini ligi ?

Wazo lako ni zuri ila utekelezaji wake unahitaji miujiza .

Zamani kulikuwa na ligi ya Muungano ambayo bingwa aliwakilisha nchi kimataifa .
Baada ya Zanzibar kupewa uanachama kamili wa CAF mashindano yakapoteza maana .

Kwa sasa hivi endelea kufurahia Mapinduzi Cup wakati wazo lako likisubiri miujiza kutekelezeka .
Ligi kuu Tanzania bara iungane na ligi kuu Zanzibar na kuwa ligi moja

Au mnasemaje wananzengo?
 
Mbona rahisi tu, michezo nayo iongezwe kwenye mambo ya muungano, timu za kina makame nao watafaidika na mzigo unaotolewa na azam tv kwenye ligi.
 
issue za kampuni za betting na pombe jamaa hawataki
Ni vigeugeu tu hao, mbona channel yao ya ZBC2 wanaonesha CAF champions league na confideration cup ambapo miongoni mwa wadhamini wakuu ni 1X betting, kabla ya kickoff wanalicheza kwanza hilo tangazo kina yakhe wanaona.
 
Mkuu unajua umbali wa kutoka Pemba kwenda Kagera ? Au Pemba hadi Kigoma?
Umeshajiuliza huu ya harakati za Zanzibar kuwa mwanachama kamili wa FIFA na vikwazo vya Muungano wetu kwenye harakati zao ? Umejiuliza vizuri juu ya wasivyokubali kudhaminiwa na makapuni ya Vileo , Tumbaku na kamali ? Vipi ikitokea makampuni ya kitimoto yakaamua kudhamini ligi ?

Wazo lako ni zuri ila utekelezaji wake unahitaji miujiza .

Zamani kulikuwa na ligi ya Muungano ambayo bingwa aliwakilisha nchi kimataifa .
Baada ya Zanzibar kupewa uanachama kamili wa CAF mashindano yakapoteza maana .

Kwa sasa hivi endelea kufurahia Mapinduzi Cup wakati wazo lako likisubiri miujiza kutekelezeka .
Mtwara Kigoma je?
 
Mkuu unajua umbali wa kutoka Pemba kwenda Kagera ? Au Pemba hadi Kigoma?
Umeshajiuliza huu ya harakati za Zanzibar kuwa mwanachama kamili wa FIFA na vikwazo vya Muungano wetu kwenye harakati zao ? Umejiuliza vizuri juu ya wasivyokubali kudhaminiwa na makapuni ya Vileo , Tumbaku na kamali ? Vipi ikitokea makampuni ya kitimoto yakaamua kudhamini ligi ?

Wazo lako ni zuri ila utekelezaji wake unahitaji miujiza .

Zamani kulikuwa na ligi ya Muungano ambayo bingwa aliwakilisha nchi kimataifa .
Baada ya Zanzibar kupewa uanachama kamili wa CAF mashindano yakapoteza maana .

Kwa sasa hivi endelea kufurahia Mapinduzi Cup wakati wazo lako likisubiri miujiza kutekelezeka .
nimekusoma hapo kwenye swala la kudhaminiwa na kampuni za vilevi ,kamali wanakaza tuu Ila watakuja kuachia wenyewe
 
Back
Top Bottom