sometimes huwa unanifurahisha sana mkuuChadema kwishney!
Slaa hana jipya.
Mbowe kajificha.
Zito tena ndio hivyo
Safari anahangaika kujibu ishu za udini ndani ya chadema.
Lisu anahangaika na kesi!
Kwa kifupi uongoz wote wa chadema upo upo tu!
Source???
Wananchi wameshawapuuza kwa propaganda zao za kujifunza.Mara tu baada ya kumalizika uchaguzi Mkuu CDM walikuja sijui sera au tuseme mkakati wakizunguuka nchi nzima wakiwashawishi watanzania wasikubaliane na ushindi wa Dk Jakaya mrisho kikwete hasa walipokuwa pale Arusha, Slaa na Ndesa waliwachochea wanainchi wafanye vurugu waende wakawatoe watu waliokuwa wameshikiliwa na police, Leo naona hali ni shwari, Je wameshindwa mkakati wao huo au ndio CDM nao wanaelekea shimoni?
Tatizo lao walifikiri tanzania ni Arusha na Moshi tu. Slaa ndio uzee umevamia ghafla, hii inatokana na kupata mtoto uzeeni(kuna hitilafi kuwa sio wake), Mbowe ndio kazi kulewa tu, Lissu anajaribu kushindana na Rais kwa safari na Zitto ndio ametaka kutolewa roho na wazee wa CDM. Kabaki yule kichaa wa Arusha na yule kicheche wao.
Tatizo hata Slaa mwenyewe hakumbuki aliyo yasema.Kesi ipo mahakamani..
Au unataka Tomato au Chili?
Tatizo hata Slaa mwenyewe hakumbuki aliyo yasema.
red: kama hujui nyamaza " No research no right to speak "Mara tu baada ya kumalizika uchaguzi Mkuu CDM walikuja sijui sera au tuseme mkakati wakizunguuka nchi nzima wakiwashawishi watanzania wasikubaliane na ushindi wa Dk Jakaya mrisho kikwete hasa walipokuwa pale Arusha, Slaa na Ndesa waliwachochea wanainchi wafanye vurugu waende wakawatoe watu waliokuwa wameshikiliwa na police, Leo naona hali ni shwari, Je wameshindwa mkakati wao huo au ndio CDM nao wanaelekea shimoni?
MAjizi ya kura Utayajua tu Yanavyojifagilia Na hili la Mkuu mwizi Nchi nzima na dunia Inajua tuanze kuweka Ushahidi ????Midomoni mwa Ndesamburo na Looser Slaa
mata.ko ww!Kesi ipo mahakamani..
Au unataka Tomato au Chili?
Mara tu baada ya kumalizika uchaguzi Mkuu CDM walikuja sijui sera au tuseme mkakati wakizunguuka nchi nzima wakiwashawishi watanzania wasikubaliane na ushindi wa Dk Jakaya mrisho kikwete hasa walipokuwa pale Arusha, Slaa na Ndesa waliwachochea wanainchi wafanye vurugu waende wakawatoe watu waliokuwa wameshikiliwa na police, Leo naona hali ni shwari, Je wameshindwa mkakati wao huo au ndio CDM nao wanaelekea shimoni?