and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,102
1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.
2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.
3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?
NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?
2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.
3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?
NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?
mtihani, sasa tutauza wapi ambapo hata dagaa mnataka wauzwe kwenye Tenga?
ila sisi tumeshindwa hata za Dom kuleta Ukraine?