TANROADS hili la kufyeka Mahindi hapa Kasulu halivumiliki!

Kwahiyo hayo mahindi yakulimwa masika ndio yanazuia maendeleo
siyo mahindi kuzuia maendeleo, bali halmashauri kuzifanyia kazi barabara za manispaa

nilikuwa nakaa katubuka 1997 na hakukuwa na mitaa iliyotengenezwa ila plan yake ilikuwepo, namaanisha kile kilichokuwa ni barabara hakikuwa kimeendelezwa na pembeni kulilimwa mahindi. sasa leo hii bado mitaa haijachongwa tu? na kodi na ushuru ndugu zangu waha wenzangu mnatoa tu?
 
halafu kwa nini serikali haijawahi na haitaki kupeleka mkuu wa mkoa muha kigoma, au wakuu wa wilaya zake ambao ni waha?
 
Back
Top Bottom