Tanroad mnafeli wapi? Daraja siku 3 bado halipitiki?

Tanroad mnafeli wapi? Daraja siku 3 bado halipitiki?

kwa hiyo hadi CDF kachemka?

Maana baada ya kukabidhiwa walivyosema hadi jana usiku mambo yawe yameshakaa sawa.
Jana ndio PM Majaliwa kasema ataongea na CDF alete kikosi kazi cha jeshi kije kubeba jukumu zima la kuhakikisha magari yanapita.......uwe unaelewa bwashee!
 
Aliendika hii thread nna uhakika hafanyi kazi Serikalini, ni rahisi sana kusema wahandisi sio wabunifu , ni RAHISI SANA, kitu cha kwanza kuna tatizo moja kubwa la viongozi walioko wizarani kuchukulia kuwa mtu aliyeko mkoani au wilayani ni mtu mdogo sana hivyo ''you can order him around any how and that person will still be efficient"' KWA NADHARIA viongozi wanasema msikae ofisini, lakini PRACTICALLY , maagizo yanayotolewa ni too paper work na kubadili format tu, yanataka utoke SITE urudi ofisini ujibu email, ujaze excel sheet, ujaze table'' kila wakati utakuta '' kuna email nimekutumia inahitaji majibu sasa hiv'' !!!1 mtu hata kama ana RATIBA nzuri ya kusaidia nchi au kutatua matatizo RATIBA yake haiheshimiwi !!
kuna haja ya kuangalia international organizations zinafanyeje kazi !! mtumishi anaweza kuwa mtu mdogo sana lakini HESHIMU ile central role anayo play katika kuleta tija katika organization.
 
Aliendika hii thread nna uhakika hafanyi kazi Serikalini, ni rahisi sana kusema wahandisi sio wabunifu , ni RAHISI SANA, kitu cha kwanza kuna tatizo moja kubwa la viongozi walioko wizarani kuchukulia kuwa mtu aliyeko mkoani au wilayani ni mtu mdogo sana hivyo ''you can order him around any how and that person will still be efficient"' KWA NADHARIA viongozi wanasema msikae ofisini, lakini PRACTICALLY , maagizo yanayotolewa ni too paper work na kubadili format tu, yanataka utoke SITE urudi ofisini ujibu email, ujaze excel sheet, ujaze table'' kila wakati utakuta '' kuna email nimekutumia inahitaji majibu sasa hiv'' !!!1 mtu hata kama ana RATIBA nzuri ya kusaidia nchi au kutatua matatizo RATIBA yake haiheshimiwi !!
kuna haja ya kuangalia international organizations zinafanyeje kazi !! mtumishi anaweza kuwa mtu mdogo sana lakini HESHIMU ile central role anayo play katika kuleta tija katika organization.
uko sahihi pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nikifikiria kipande cha barabara kutokea chalinze mpaka mlandizi yale mabonde bonde nabaki kusema hakuna Tanroads nchi hii
 
Tatizo siasa mkuu, mwanasiasa anataka awahi site achukuliwe makamera na waandishi wa habari. Hiyo kazi ilitakiwa ikamilika usiku kwa usiku bila hata mwanasiasa mmoja kujua..
 
Barabara ni issur ambayo ipo ndani ya uwezo wa engineers wa tanroad ndio maana wazuri mkuu kampiga chini manager wa tanroad mkoa.

1. Kwanza kwa uzembe wa kuto kagua eneo husika hadi culvert lina jaa mchanga na kuzuia maji kuto pita.

2. Pili kwa kuto mobilize nguvu ya kiufundi na kitaalam mapema ili kupata suluhu kwa wakati.

3. Kuto kua na kumbukumbu juu ya ukaguzi wa barabara.

Hili tanroad hawawezi likwepa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Je hiyo adhabu aliyopewa Mhandisi ipo kwenye mwongozo wa kanuni za kazi na wajibu wake?
 
Saa nne baada ya meneja wa tanroad kufutwa kazi na waliobaki kuamriwa kufanyakazi huku wameshikiwa smg magari yameanza kupita, safi sana. Yaani yule engeneer wa tanroad kwa mwonekano tu kazi hawezi.
 
Kwa kweli watu wa wizarani huku chini wanatuona kama vinyago.utasikia nimetuma email mwisho saa kumi iwe imefanyiwa kazi ukicheki n kaz ya kufanya wiki.
Aliendika hii thread nna uhakika hafanyi kazi Serikalini, ni rahisi sana kusema wahandisi sio wabunifu , ni RAHISI SANA, kitu cha kwanza kuna tatizo moja kubwa la viongozi walioko wizarani kuchukulia kuwa mtu aliyeko mkoani au wilayani ni mtu mdogo sana hivyo ''you can order him around any how and that person will still be efficient"' KWA NADHARIA viongozi wanasema msikae ofisini, lakini PRACTICALLY , maagizo yanayotolewa ni too paper work na kubadili format tu, yanataka utoke SITE urudi ofisini ujibu email, ujaze excel sheet, ujaze table'' kila wakati utakuta '' kuna email nimekutumia inahitaji majibu sasa hiv'' !!!1 mtu hata kama ana RATIBA nzuri ya kusaidia nchi au kutatua matatizo RATIBA yake haiheshimiwi !!
kuna haja ya kuangalia international organizations zinafanyeje kazi !! mtumishi anaweza kuwa mtu mdogo sana lakini HESHIMU ile central role anayo play katika kuleta tija katika organization.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama anavyo sema waziri mkuu ni aibu ya nchi siku 3 hakuna suluhu ya magari kupita kati ya dodoma na morogoro.

Kwanini baada ya daraja kuvunjika kusitafutwe njia mchepuko magari yapite wakati mnaendelea kutengeneza daraja?

Hivi wewe, unafikiri watu na degree zao za engineering hawajafikiria hilo na kuona hakuna sehemu magari yanaweza kufanya hivyo na suluhisho ni kurudishia daraja tu? Unaweza kupitisha gari ya tani 40 kwenye kidaraja mabondeni pale?

Acha kuja na hoja za kisiasa za kinguin kwenye mambo ya kihandisi.
 
Sijasema alternative iwe wapi lakini ungekua engineer ungenielewa. Engineers always can find the best solution. Hii ndio imani yao.
Hivi wewe, unafikiri watu na degree zao za engineering hawajafikiria hilo na kuona hakuna sehemu magari yanaweza kufanya hivyo na suluhisho ni kurudishia daraja tu? Unaweza kupitisha gari ya tani 40 kwenye kidaraja mabondeni pale?

Acha kuja na hoja za kisiasa za kinguin kwenye mambo ya kihandisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ona sasa Rais anataka kuwafukuza wote.

Tanroad mnakwamba wapi?

Akili mbona inakua imelala hovyo.
20200316_155813.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni majanga ya asili yapo kote duniani kumbuka ile moto wa Australia. Nashangaa mjinga mmoja anakwenda mbali na kuwafukiza wenzake
Kwani hili ndio daraja la kwanza kusombwa nafikiri kila ikitokea hatua za dharura huchukuliwa kwa haraka sana na hao hao unaowaponda hata jeshi wapo kwa mambo hayo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom