Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,099
- 1,704
GB iko kitoto zaidi.
Yaani wanafunzi ndio Sawa yao
Yaani wanafunzi ndio Sawa yao
We ni nani kwa whatsapp hata ukitoka ....ACHA KUTUMIA ... yaani hawana shida wewe ...... user 1 billion ukitoka ww mmoja who are you yaaaniApp ya WhatsApp GB ina raha yake.
Ilikuwa na feature nyingi nyingi sana. Na mara kwa mara wanatoa update inavutia sana.
Sasa majuzi nilishuhudia watu wakitakiwa ku download official WhatsApp app mm najua ni njama tu.
Ile ilikuwa inaruhusu kuona kama mtu alituma kitu akakifuta wewe unaona na hakifutiki.
Ilikuwa inakupa uwanja kuamua group gani hakina umuhim kwako kwa muda huo unaliweka pembeni yaani unalitenga kwa muda hadi pale utakapotaka kulitumia.
GBwhatsapp ilikuwa ina theme tele. Unaamua muonekano wa app yako wkt wa kuitumia uwekeje.
Kwa ufupi ikuwa inavitu vingi. Nimeoatwa na masikitikito kwa kuwa ilikuwa inakupa nafasi kujitenga na baadh ya contacts ukawa na wachache ukawa free na faraghani.
Baada ya kutakiwa kuwa katika official nimejiona kama vile nataka niachane na WhatsApp. Nahisi imefikia mwisho
Gb ilikuwa na voice changer niliifurahia kwa mambo mengi tu wala si hiyo ya kuona deleted itemsanaetumia hayo ma whattsap GB namchukulia ni moja ya kijana wa hovyo tu.. Haiwezekani mtu afute kitu chake alichopost bahati mbaya au kimejipost halafu afute wewe utake kubaki nacho..
Mwingine anaangalia status za watu kwa kujificha apo unakuta yeye kahide.. ni kitu cha hovyo tu
Wengi wamebase sana kwenye ivyo vitu nilivyotajaGb ilikuwa na voice changer niliifurahia kwa mambo mengi tu wala si hiyo ya kuona deleted items
Hata WhatsApp official, ina voice changer,Gb ilikuwa na voice changer niliifurahia kwa mambo mengi tu wala si hiyo ya kuona deleted items
Labda utumie zile za County code tofauti... Hizo zinakubaliMbona wengine bado tunadunda......na zitakaa wiki chache ,watu watarudi tena,,,,uzuri ma hacker wake ni wa Iran nao wanapata raha kuwavuruga jamaa
Aliyeunda GB Whatsapp si atengeneze app yake aiite jina lingine?Hivi Coca-Cola inaweza mshitaki mtu na kumfunga kwa kosa la kukutwa anakunywa Coca-Cola fake?.
WhatsApp haina wabunifu, watulie watu wachague wenyewe kile wanapenda.
Kwamba Toyota na Toyo si tofauti?.Aliyeunda GB Whatsapp si atengeneze app yake aiite jina lingine?
Ina itwa ivyo ivyo WhatsApp ila una ipata googleInaitwaje?
Je napataje chats zangu zilizokuwepo kwenye whatspp GBApp ya WhatsApp GB ina raha yake.
Ilikuwa na feature nyingi nyingi sana. Na mara kwa mara wanatoa update inavutia sana.
Sasa majuzi nilishuhudia watu wakitakiwa ku download official WhatsApp app mm najua ni njama tu.
Ile ilikuwa inaruhusu kuona kama mtu alituma kitu akakifuta wewe unaona na hakifutiki.
Ilikuwa inakupa uwanja kuamua group gani hakina umuhim kwako kwa muda huo unaliweka pembeni yaani unalitenga kwa muda hadi pale utakapotaka kulitumia.
GBwhatsapp ilikuwa ina theme tele. Unaamua muonekano wa app yako wkt wa kuitumia uwekeje.
Kwa ufupi ikuwa inavitu vingi. Nimeoatwa na masikitikito kwa kuwa ilikuwa inakupa nafasi kujitenga na baadh ya contacts ukawa na wachache ukawa free na faraghani.
Baada ya kutakiwa kuwa katika official nimejiona kama vile nataka niachane na WhatsApp. Nahisi imefikia mwisho
Je napataje chats zangu zilizokuwepo kkenye GB whatsapp
Basi katengeneze ka wasap kako mkuu ..kweli Sheria zimewekwa ili zivunjweNaomba kufahamu kama mpaka sasa bado tunatumia officials wosapu? Bila kuficha hisia nimeichoka sana hivi Offcial
Servers za GB WhatsApp sidhan kama wana associates na Google Drive kama unafanya online back up.... unless otherwise ufanye custom back kwa ku backup chats on a certain device...ingaw uki install official WhatsApp itashindwa ku detect hizo back utaona unaanza upyaJe napataje chats zangu zilizokuwepo kwenye whatspp GB
Je napataje chats zangu zilizokuwepo kkenye GB whatsapp
Hahahahahaha!Basi katengeneze ka wasap kako mkuu ..kweli Sheria zimewekwa ili zivunjwe