vidmate
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 686
- 1,204
Katika mabadiliko ya kushtua kwetu wapenzi wa modded WhatsApp Apk ni hili, Official Whatsapp version kupiga marufuku watumiaji wanaotumia programu za Whatsapp kama vile GBWhatsapp, FmWhatsApp, WhatsApp Plus n.k
Official WhatsApp version inakuja na feature nyingi nzuri, lakini daima kuna baadhi ya watumiaji ambao tunataka zaidi kutoka kwenye programu. Kwa watumiaji wa hizo Apk kama GBWhatsapp, OGWhatsapp au Whatsapp Plus inakuja na features nzuri zaidi ambazo hutoa sifa nyingi zaidi hasa linapokuja suala la uboreshaji na privacy, hapa watumiaji wa hizi app mtanielewa vzr uhondo wake siwezi usimulia ila wewe unaetumia WhatsApp ya kawaida naamini kuna vingi unavikosa huku na laiti ungevijua usingependa uvikose...
App hizi tumezifurahia kwa muda sasa lakini sasa inaonekana kama mambo yanafika mwisho kwa uchungu, sababu official Whatsapp imeanza kuchukua hatua dhidi ya watumiaji wa hizi app zilizochakachuliwa kdgo watu wanapigwa ban za kuendelea kuzitumia na wanakutoa option moja ya kurudia WhatsApp ya kawaida ama vinginevyo utakuwa permanent banned kutumia WhatsApp.
Kutoka siku chache zilizopita, watumiaji wa GBWhatsapp wameripoti kwamba wanapata marufuku kwa muda kutumia Whatsapp. Na leo ilikuwa zamu yangu mdau wa Gb Whatsapp siku nzima napata ban kila baada ya muda mfupi napigwa ban za masaa yakutosha...
Nilipofatilia sababu ya kupigwa ban kwa muda Whatsapp wanasema ni ukiukaji wa masharti yake ya huduma. Wapo wengine waliopigwa ban kwa masaa 9 wakati wengine walipigwa marufuku kwa lisaa.
Kilichonifurahisha ni GbWhatsApp kutoa taarifa kuwa hivi karibuni watatoa latest version ya GB WhatsApp itakayoweza kufanya kazi kama kawaida bila shida yoyote, hivyo sasa option iliyopo ni kurudia WhatsApp ya zamani hadi latest Gb WhatsApp itakapotolewa
Official WhatsApp version inakuja na feature nyingi nzuri, lakini daima kuna baadhi ya watumiaji ambao tunataka zaidi kutoka kwenye programu. Kwa watumiaji wa hizo Apk kama GBWhatsapp, OGWhatsapp au Whatsapp Plus inakuja na features nzuri zaidi ambazo hutoa sifa nyingi zaidi hasa linapokuja suala la uboreshaji na privacy, hapa watumiaji wa hizi app mtanielewa vzr uhondo wake siwezi usimulia ila wewe unaetumia WhatsApp ya kawaida naamini kuna vingi unavikosa huku na laiti ungevijua usingependa uvikose...
App hizi tumezifurahia kwa muda sasa lakini sasa inaonekana kama mambo yanafika mwisho kwa uchungu, sababu official Whatsapp imeanza kuchukua hatua dhidi ya watumiaji wa hizi app zilizochakachuliwa kdgo watu wanapigwa ban za kuendelea kuzitumia na wanakutoa option moja ya kurudia WhatsApp ya kawaida ama vinginevyo utakuwa permanent banned kutumia WhatsApp.
Kutoka siku chache zilizopita, watumiaji wa GBWhatsapp wameripoti kwamba wanapata marufuku kwa muda kutumia Whatsapp. Na leo ilikuwa zamu yangu mdau wa Gb Whatsapp siku nzima napata ban kila baada ya muda mfupi napigwa ban za masaa yakutosha...
Nilipofatilia sababu ya kupigwa ban kwa muda Whatsapp wanasema ni ukiukaji wa masharti yake ya huduma. Wapo wengine waliopigwa ban kwa masaa 9 wakati wengine walipigwa marufuku kwa lisaa.
Kilichonifurahisha ni GbWhatsApp kutoa taarifa kuwa hivi karibuni watatoa latest version ya GB WhatsApp itakayoweza kufanya kazi kama kawaida bila shida yoyote, hivyo sasa option iliyopo ni kurudia WhatsApp ya zamani hadi latest Gb WhatsApp itakapotolewa