Kuna watu wanadhani wao wanakinga ya makosa wakifanya kosa wao hawaoni wanatafuta kosa Kwa mtu mwingine wakimpata watamlaumu nakutengeneza propaganda nyingi.
Mimi nashangaa sana kama watu hawa wataendelea na siasa za kilaghai namna hii maana yake wao kama wapinzani watatakiwa kubeba lawama zote,
Juzi cdm wanajitetea kuwa CAG amewaonea kuuita ripoti iliyoonesha kuwa kuna matumizi mabaya wao hawataki kukubali ukweli na kuwa waungwana tu Wala hawataki mtu mwingine ajitetee
Kwa fikra za namna hii watasababisha upinzani laghai ambao hauwezi kuwa na tija Kwa taifa,hivyo nashauri wabadilishie
Mimi nashangaa sana kama watu hawa wataendelea na siasa za kilaghai namna hii maana yake wao kama wapinzani watatakiwa kubeba lawama zote,
Juzi cdm wanajitetea kuwa CAG amewaonea kuuita ripoti iliyoonesha kuwa kuna matumizi mabaya wao hawataki kukubali ukweli na kuwa waungwana tu Wala hawataki mtu mwingine ajitetee
Kwa fikra za namna hii watasababisha upinzani laghai ambao hauwezi kuwa na tija Kwa taifa,hivyo nashauri wabadilishie