Tangu vita vya Ukraine na Urusi vianze sijawahi kuona vikiripotiwa ITV

Yaani tangu Urusi aivaimie Ukraine sijawahi kuona habari hizo zikisomwa ITV. Je, ni kweli hawapati hizo habari au wameamua kutotoa habari hizo? Halafu hata habari Kimataifa naona wanatoa Kenya, Burundi na Kongo (DRC) na hata habari zenyewe Siku hizi zinakuwa ni kama highlights tu.

Kwa kweli ITV hebu rudini kwenye ubora wenu wa awali tupate habari za mataifa mbali mbali tena kwa kina .
Angalia TV Imaan
 
Sera ya ya ITV ni kwamba taarifa zake za habari za saa moja, saa mbili usiku na saa tano zinaonyesha ahabri za ndani na mataifa ya africa tu. habari za ulimwengu wanajiunga na CNN na aljazera na mashirika mengine. hiyo ni in house policy.
 
Yaani tangu Urusi aivaimie Ukraine sijawahi kuona habari hizo zikisomwa ITV. Je, ni kweli hawapati hizo habari au wameamua kutotoa habari hizo? Halafu hata habari Kimataifa naona wanatoa Kenya, Burundi na Kongo (DRC) na hata habari zenyewe Siku hizi zinakuwa ni kama highlights tu.

Kwa kweli ITV hebu rudini kwenye ubora wenu wa awali tupate habari za mataifa mbali mbali tena kwa kina .
Kwani umelazimishwa kubaki ITV tu? Mbona stations za TV kibao?
 
Yaani tangu Urusi aivaimie Ukraine sijawahi kuona habari hizo zikisomwa ITV. Je, ni kweli hawapati hizo habari au wameamua kutotoa habari hizo? Halafu hata habari Kimataifa naona wanatoa Kenya, Burundi na Kongo (DRC) na hata habari zenyewe Siku hizi zinakuwa ni kama highlights tu.

Kwa kweli ITV hebu rudini kwenye ubora wenu wa awali tupate habari za mataifa mbali mbali tena kwa kina .
Kupanga ni kuchagua
 
Japo ni nje ya mada, mimi wakishafika kwenye, “waliojibu swali letu la kipima joto” nabadilisha chaneli.
Huko mbona mbali Sana kiufupi ITV habar zao nzur Ni zile DK 10 za Kwanza tu baada YA hapo wanalipua tu hawako serious kabisa Na wao wenyewe wanajijua vizur.
 
Bila shaka wanasoma humu, inabidi wabadilike huwezi kupata habari kwa kina inakuwa rasha rasha tu.Habari za mchezo ndio kabisaa
 
Sera ya ya ITV ni kwamba taarifa zake za habari za saa moja, saa mbili usiku na saa tano zinaonyesha ahabri za ndani na mataifa ya africa tu. habari za ulimwengu wanajiunga na CNN na aljazera na mashirika mengine. hiyo ni in house policy.
Inabidi wajifunze kutangaza wenyewe
 
Siyo sera ya ITV kutoa taarifa za kimataifa! Tangu kuanzishwa kwake ITV hutoa habari za ndani na nchi za Afrika mashariki ambazo ina wawakilishi!
Mbona siku za karibuni wanatoa habari kuhusu Hamas na Israel, wamebadili sera yao?
 
Back
Top Bottom