Haina athari yo yote lakini huwezi kusema source ya hiyo habari ni Star TV.Kwani taarifa mfano ndege imepata ajali na hakuna aliyekufa ikiwa imekopiwa italeta athari gani kiuhalisia?
Haina athari yo yote lakini huwezi kusema source ya hiyo habari ni Star TV.Kwani taarifa mfano ndege imepata ajali na hakuna aliyekufa ikiwa imekopiwa italeta athari gani kiuhalisia?
Angalia TV ImaanYaani tangu Urusi aivaimie Ukraine sijawahi kuona habari hizo zikisomwa ITV. Je, ni kweli hawapati hizo habari au wameamua kutotoa habari hizo? Halafu hata habari Kimataifa naona wanatoa Kenya, Burundi na Kongo (DRC) na hata habari zenyewe Siku hizi zinakuwa ni kama highlights tu.
Kwa kweli ITV hebu rudini kwenye ubora wenu wa awali tupate habari za mataifa mbali mbali tena kwa kina .
Kabisa, kiufupi mimi huniambii kitu na Star TV......ndo channel yangu linapokuja suala la habariITV over rated
STAR TV under rated 👏🙌
Kwani umelazimishwa kubaki ITV tu? Mbona stations za TV kibao?Yaani tangu Urusi aivaimie Ukraine sijawahi kuona habari hizo zikisomwa ITV. Je, ni kweli hawapati hizo habari au wameamua kutotoa habari hizo? Halafu hata habari Kimataifa naona wanatoa Kenya, Burundi na Kongo (DRC) na hata habari zenyewe Siku hizi zinakuwa ni kama highlights tu.
Kwa kweli ITV hebu rudini kwenye ubora wenu wa awali tupate habari za mataifa mbali mbali tena kwa kina .
Kupanga ni kuchaguaYaani tangu Urusi aivaimie Ukraine sijawahi kuona habari hizo zikisomwa ITV. Je, ni kweli hawapati hizo habari au wameamua kutotoa habari hizo? Halafu hata habari Kimataifa naona wanatoa Kenya, Burundi na Kongo (DRC) na hata habari zenyewe Siku hizi zinakuwa ni kama highlights tu.
Kwa kweli ITV hebu rudini kwenye ubora wenu wa awali tupate habari za mataifa mbali mbali tena kwa kina .
Huko mbona mbali Sana kiufupi ITV habar zao nzur Ni zile DK 10 za Kwanza tu baada YA hapo wanalipua tu hawako serious kabisa Na wao wenyewe wanajijua vizur.Japo ni nje ya mada, mimi wakishafika kwenye, “waliojibu swali letu la kipima joto” nabadilisha chaneli.
Uhakika hapaKabisa, kiufupi mimi huniambii kitu na Star TV......ndo channel yangu linapokuja suala la habari
......acha ubwege wewe huyo mjita/mkerewe/mkara hakuwaga Geita banaUlaya:tom bryan, bbc
bongo:Mimi ni joooj maratooooo
itviiiiiiiiiiiii
geitaaaaaaaaa
Ndio maana ya habariStar TV inakopi na kupesti kutoka mashirika mengine ya kimataifa!
Inabidi wajifunze kutangaza wenyeweSera ya ya ITV ni kwamba taarifa zake za habari za saa moja, saa mbili usiku na saa tano zinaonyesha ahabri za ndani na mataifa ya africa tu. habari za ulimwengu wanajiunga na CNN na aljazera na mashirika mengine. hiyo ni in house policy.
Mbona siku za karibuni wanatoa habari kuhusu Hamas na Israel, wamebadili sera yao?Siyo sera ya ITV kutoa taarifa za kimataifa! Tangu kuanzishwa kwake ITV hutoa habari za ndani na nchi za Afrika mashariki ambazo ina wawakilishi!
Umesema "siku za hivi karibuni"! Na mimi nashangaa kama wewe!Mbona siku za karibuni wanatoa habari kuhusu Hamas na Israel, wamebadili sera yao?
Same hereJapo ni nje ya mada, mimi wakishafika kwenye, “waliojibu swali letu la kipima joto” nabadilisha chaneli.