ASIE NA MAKUU
Member
- Aug 10, 2021
- 39
- 65
Yaani tangu Urusi aivaimie Ukraine sijawahi kuona habari hizo zikisomwa ITV. Je, ni kweli hawapati hizo habari au wameamua kutotoa habari hizo? Halafu hata habari Kimataifa naona wanatoa Kenya, Burundi na Kongo (DRC) na hata habari zenyewe Siku hizi zinakuwa ni kama highlights tu.
Kwa kweli ITV hebu rudini kwenye ubora wenu wa awali tupate habari za mataifa mbali mbali tena kwa kina .
Kwa kweli ITV hebu rudini kwenye ubora wenu wa awali tupate habari za mataifa mbali mbali tena kwa kina .