Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Kipindi cha Magufuli sukari tu ilipanda bei kutoka 1400 hadi 2400, CHADEMA walipiga mayowe balaa kupinga hali hiyo.
Lakini sasa hivi wanalamba asali wako kimyaa, Mbowe yuko bize kuhudhuria Ikulu tu bila kukemea chochote.
Ona vitu vilivyopanda bei sasa hivi
1: Tozo elfu 50 toka elfu 2500 sasa hadi 5,500
2: kuunga umeme toka elfu 27 hadi 320,000
3: IST showroom 12.5 million hadi 18.5 million
4: Petrol 2250 hadi 3900
5: aluminium windows 200,000 hadi 400,000
6: Bati 31,000
7: cement: 13,500 hadi 19,000
8: chips kavu: 1500 hadi 2000
9: Nauli dalaldala toka 400 hadi 500
10: bajaj nauli 500 hadi 1000
Nyama kutoka 8000 mpaka 13,000
11.Mafuta ya kula kutoka 3000 per lita mpaka 8500
12.Mpira kibanda umiza kutoka 500 mpaka 1000
13. Nondo ya milimita 12 kutoka 11,000 mpaka 28,000
14. Mbolea kutoka 50,000 mpaka 160,000
15. Kipande cha sabuni kutoka 500 mpaka 800
Lakini sasa hivi wanalamba asali wako kimyaa, Mbowe yuko bize kuhudhuria Ikulu tu bila kukemea chochote.
Ona vitu vilivyopanda bei sasa hivi
1: Tozo elfu 50 toka elfu 2500 sasa hadi 5,500
2: kuunga umeme toka elfu 27 hadi 320,000
3: IST showroom 12.5 million hadi 18.5 million
4: Petrol 2250 hadi 3900
5: aluminium windows 200,000 hadi 400,000
6: Bati 31,000
7: cement: 13,500 hadi 19,000
8: chips kavu: 1500 hadi 2000
9: Nauli dalaldala toka 400 hadi 500
10: bajaj nauli 500 hadi 1000
Nyama kutoka 8000 mpaka 13,000
11.Mafuta ya kula kutoka 3000 per lita mpaka 8500
12.Mpira kibanda umiza kutoka 500 mpaka 1000
13. Nondo ya milimita 12 kutoka 11,000 mpaka 28,000
14. Mbolea kutoka 50,000 mpaka 160,000
15. Kipande cha sabuni kutoka 500 mpaka 800