jossey1979
Senior Member
- Apr 28, 2008
- 172
- 42
Aliyefanya upuuzi kwanini asiwe targeted yeye mwenyewe badala ya kuhusisha familia nzima?
Hiyo kitu ipo sana tu kuna familia iliteketekea kwa ajili ya mtu mmoja kwa sababu alitokomea na fedha za watu, baada ya kumfuatilia akawa hapatikani, tulikua kila siku tunazika mtu kwenye familia yao baada ya watu wanne kufariki ndo kuanza kutafuita watu wanaofanya hivyo ndo kuambiwa kuwa jamaa alichukua pesa ya biasharapotea ya watu na wanatakiwa kurudisha na jamaa aliyechukua pesa akawa mtu wa tano kufariki ndani ya siku tano tulizaika watu watano familia moja.usicheze na watu utapoteaUnaamini hii kitu?
Hiyo kitu ipo sana tu kuna familia iliteketekea kwa ajili ya mtu mmoja kwa sababu alitokomea na fedha za watu, baada ya kumfuatilia akawa hapatikani, tulikua kila siku tunazika mtu kwenye familia yao baada ya watu wanne kufariki ndo kuanza kutafuita watu wanaofanya hivyo ndo kuambiwa kuwa jamaa alichukua pesa ya biasharapotea ya watu na wanatakiwa kurudisha na jamaa aliyechukua pesa akawa mtu wa tano kufariki ndani ya siku tano tulizaika watu watano familia moja.usicheze na watu utapotea
sasa ushikina ni nini na uchawi ni nini?Haya mambo yapo,Hakuna uchawi ila imani za kishirikina zipo na zina nguvu sawa sawa na imani nyingine...
careful with your mouth!Haya mambo yapo,Hakuna uchawi ila imani za kishirikina zipo na zina nguvu sawa sawa na imani nyingine...
Danganya TOTO Hiyo