TAARIFA MAALUM
zoezi la kufungiwa sim feki limesitishwa mpaka hapo mtakapo julishwa tena hii nikufuatia kupungua kwa maji katika bwawa la mtera akiongea na vyombo vya habari msemaji wa TFF alisema hayo huku akionesha uwezekano wa zoezi hilo kuwa gumu mpaka sasa DART wako dar es salaam pekee hawajafika morogoro na manyara hivyo EWURA wamekana habari hizo kwani CUF hawamtaki mtu huyo kwani alishakataliwa tangu SACCOS zilipoanzishwa na kushindwa kurejesha mikanda yote aliochukua akiwa KARUME DAY siku pendwa ya UCHAGUZI WA YANGA na hatima ya WATAHINIWA hao wa mkoani TANDIKA walioongea kwa Masikitiko huku wakiwa na furaha usoni mwao Waziri Mkuu akisisitiza Tatizo la Sukari ni historia baada ya Idara ya Maji kuhakikisha watazalisha Kuku wengi na kupunguza Tatizo la upatikanaji wa Jua katika Maeneo yenye taabu ya Mtandao.