Office Location: | Box 52 Kiomboi, Iramba |
Office Phone: | +255 878 513446/+255 757 946223 |
Chama cha CHADEMA kitafanya Ziara ya Mwezi Mzima katika Jimbo la Iramba Mangaribi ambalo ni Jimbo la Mh. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kuimarisha chama, Mada zitakazozungumziwa katika Ziara hiyo ni;
1. Utendaji wa BOT kati ya Mwaka 2006 - 2010
2. Wizi wa Fedha za EPA
3. Uhusika wa BOT na Taratibu za ufunguaji Akaunti nje ya nchi
4. Uhusika wa Wafanyakazi wa BoT na wizi wa pesa za EPA
5. Uhusika, usaidizi, ushauri wa kitaalamu wa wafanyakazi wa BOT uliosaidia kuibwa kwa Fedha za EPA
6. Ushauri Mbovu wa masuala ya Uchumi katika kipindi cha 2006 - 2010 ndani ya BoT
7. Ugumu wa maisha ya wananchi wa Iramba Mangaraibi, suluhisho la Matatizo yao.
8. Matatizo ya Elimu katika Jimbo la Iramba Magharibi,
9. Utendaji wa Kazi wa Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi,
10. Serekali kushindwa kushughulikia Mauaji ya Raia baada ya uchaguzi wa Igunga na Arumeru Mashariki.
11. Hali ya Uchumi ya Nchi.
Wazungumzaji Wakuu:
1. Freeman Mbowe
2. Mchungaji Msigwa - Kiongozi wa Ziara
3. Mh. John Mnyika - Katibu wa Ziara
4. Dr. Wilbrod Silaa
5. Godbless Lema
6. Halima Mdee
7. Joshua Nassari
8. Mh. Wenje
Wazungumzaji Huru.
1. Ma Profesa wawili wa Uchumi - Chuo Kikuu Dar - Es - Salaam
watatoa elimu kwa umma kuhusu Uchumi na utekelezaji wa Mipango ya Taifa - Majina yanahifadhiwa kwa sasa.
2. Wanaharakati Mashuhuri Wawili - Majina yanahifadhiwa kwa sasa
3. Uongozi wa TAMWA - Taifa
4. Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge Igunga
5. Mume wa Mwanamke aliyefumaniwa na kiongozi wa Juu wa CCM Igunga
6. Baba mzazi wa Kijana aliyekutwa amekufa Igunga mara baada ya Kampeni
6. Wazazi na Mke wa Kiongozi wa Chadema aliyeuwawa Arumeru mara baada ya Uchaguzi
7. Wazazi wa Vijana Wanne waliouwawa kwa kuvunjwa Shingo na kutupwa Jimbo la Arumeru Mashariki
8. Viongozi wa Dini kuu mbili za Kiislam na Kikristo
9. RPC Mstaafu
10. Ungozi wa Kitaifa LHRC (Haki za Binadamu) Tanzania
11. UONGOZI WA KITAIFA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB)
12. Kiongozi wa wazee wa Iramba.
KAZI HII ITAKUWA NI YA MWEZI MMOJA.
Hizi ni Namba za Mwigulu Nchema kama unataka kumpa Taarifa.
Office Location: Box 52 Kiomboi, Iramba Office Phone: +255 878 513446/+255 757 946223
Chama cha CHADEMA kitafanya Ziara ya Mwezi Mzima katika Jimbo la Iramba Mangaribi ambalo ni Jimbo la Mh. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kuimarisha chama, Mada zitakazozungumziwa katika Ziara hiyo ni;
1. Utendaji wa BOT kati ya Mwaka 2006 - 2010
2. Wizi wa Fedha za EPA
3. Uhusika wa BOT na Taratibu za ufunguaji Akaunti nje ya nchi
4. Uhusika wa Wafanyakazi wa BoT na wizi wa pesa za EPA
5. Uhusika, usaidizi, ushauri wa kitaalamu wa wafanyakazi wa BOT uliosaidia kuibwa kwa Fedha za EPA
6. Ushauri Mbovu wa masuala ya Uchumi katika kipindi cha 2006 - 2010 ndani ya BoT
7. Ugumu wa maisha ya wananchi wa Iramba Mangaraibi, suluhisho la Matatizo yao.
8. Matatizo ya Elimu katika Jimbo la Iramba Magharibi,
9. Utendaji wa Kazi wa Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi,
10. Serekali kushindwa kushughulikia Mauaji ya Raia baada ya uchaguzi wa Igunga na Arumeru Mashariki.
11. Hali ya Uchumi ya Nchi.
Wazungumzaji Wakuu:
1. Freeman Mbowe
2. Mchungaji Msigwa - Kiongozi wa Ziara
3. Mh. John Mnyika - Katibu wa Ziara
4. Dr. Wilbrod Silaa
5. Godbless Lema
6. Halima Mdee
7. Joshua Nassari
8. Mh. Wenje
Wazungumzaji Huru.
1. Ma Profesa wawili wa Uchumi - Chuo Kikuu Dar - Es - Salaam
watatoa elimu kwa umma kuhusu Uchumi na utekelezaji wa Mipango ya Taifa - Majina yanahifadhiwa kwa sasa.
2. Wanaharakati Mashuhuri Wawili - Majina yanahifadhiwa kwa sasa
3. Uongozi wa TAMWA - Taifa
4. Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge Igunga
5. Mume wa Mwanamke aliyefumaniwa na kiongozi wa Juu wa CCM Igunga
6. Baba mzazi wa Kijana aliyekutwa amekufa Igunga mara baada ya Kampeni
6. Wazazi na Mke wa Kiongozi wa Chadema aliyeuwawa Arumeru mara baada ya Uchaguzi
7. Wazazi wa Vijana Wanne waliouwawa kwa kuvunjwa Shingo na kutupwa Jimbo la Arumeru Mashariki
8. Viongozi wa Dini kuu mbili za Kiislam na Kikristo
9. RPC Mstaafu
10. Ungozi wa Kitaifa LHRC (Haki za Binadamu) Tanzania
11. UONGOZI WA KITAIFA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB)
12. Kiongozi wa wazee wa Iramba.
KAZI HII ITAKUWA NI YA MWEZI MMOJA.
Hizi ni Namba za Mwigulu Nchema kama unataka kumpa Taarifa.
Office Location: Box 52 Kiomboi, Iramba Office Phone: +255 878 513446/+255 757 946223
hapo ni posho tu zile hela alizotoa shibuda jana ndio wameshazipgia hesabu wakazigawane