miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
Anaropoka sana na kutaka sifa cjui anafikiria kupewa uwaziri!Asubuhi anamsifia Mr dhaifu kwa kumteua Mwandosya wizara isiyokuwa na shughul maalum.
take five.mleta mada umesahau kuattach hii
ONYO:watakao hutubia wawe makini na wake zao..
Najitolea kwenda kuwakomboa wananchi wa jimbo la yule mzinzi mwingine aliyekamatwa hivi karibuni manake CCM imeshindwa kuleta maendeleo na wake wa wananchi wanachapa!Nafkiri ukienda kwenye majimbo yao hawa jamaa miongoni mwa ukombozi utakaopaswa kuwapelekea wananchi ni kunusuru wake zaokama kikosi hiki kitatua kwa Mwigulu lazima atahama jimbo hii ni hukumu kwa Mwigulu na wakitoka hapo wasisahau kwa Lusinde
Kama hii habari ni ya ukweli then this is too much mazee. Kwa nini kuua inzi kwa nuclear? Haya Mwigulu unalo hilo. Natumaini majivuno na majigambo yako yasiyokuwa na tija yamefikia tamati rasmi.
Anaropoka sana na kutaka sifa cjui anafikiria kupewa uwaziri!Asubuhi anamsifia Mr dhaifu kwa kumteua Mwandosya wizara isiyokuwa na shughul maalum.