Tangazo - m4c iramba mangaribi - august 2012

Cable

Member
Apr 20, 2012
25
4
Chama cha CHADEMA kitafanya Ziara ya Mwezi Mzima katika Jimbo la Iramba Mangaribi ambalo ni Jimbo la Mh. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kuimarisha chama, Mada zitakazozungumziwa katika Ziara hiyo ni;

1. Utendaji wa BOT kati ya Mwaka 2006 - 2010
2. Wizi wa Fedha za EPA
3. Uhusika wa BOT na Taratibu za ufunguaji Akaunti nje ya nchi
4. Uhusika wa Wafanyakazi wa BoT na wizi wa pesa za EPA
5. Uhusika, usaidizi, ushauri wa kitaalamu wa wafanyakazi wa BOT uliosaidia kuibwa kwa Fedha za EPA
6. Ushauri Mbovu wa masuala ya Uchumi katika kipindi cha 2006 - 2010 ndani ya BoT
7. Ugumu wa maisha ya wananchi wa Iramba Mangaraibi, suluhisho la Matatizo yao.
8. Matatizo ya Elimu katika Jimbo la Iramba Magharibi,
9. Utendaji wa Kazi wa Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi,
10. Serekali kushindwa kushughulikia Mauaji ya Raia baada ya uchaguzi wa Igunga na Arumeru Mashariki.
11. Hali ya Uchumi ya Nchi.

Wazungumzaji Wakuu:

1. Freeman Mbowe
2. Mchungaji Msigwa - Kiongozi wa Ziara
3. Mh. John Mnyika - Katibu wa Ziara
4. Dr. Wilbrod Silaa
5. Godbless Lema
6. Halima Mdee
7. Joshua Nassari
8. Mh. Wenje

Wazungumzaji Huru.

1. Ma Profesa wawili wa Uchumi - Chuo Kikuu Dar - Es - Salaam
watatoa elimu kwa umma kuhusu Uchumi na utekelezaji wa Mipango ya Taifa - Majina yanahifadhiwa kwa sasa.

2. Wanaharakati Mashuhuri Wawili - Majina yanahifadhiwa kwa sasa
3. Uongozi wa TAMWA - Taifa
4. Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge Igunga
5. Mume wa Mwanamke aliyefumaniwa na kiongozi wa Juu wa CCM Igunga
6. Baba mzazi wa Kijana aliyekutwa amekufa Igunga mara baada ya Kampeni
6. Wazazi na Mke wa Kiongozi wa Chadema aliyeuwawa Arumeru mara baada ya Uchaguzi
7. Wazazi wa Vijana Wanne waliouwawa kwa kuvunjwa Shingo na kutupwa Jimbo la Arumeru Mashariki
8. Viongozi wa Dini kuu mbili za Kiislam na Kikristo
9. RPC Mstaafu
10. Ungozi wa Kitaifa LHRC (Haki za Binadamu) Tanzania
11. UONGOZI WA KITAIFA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB)
12. Kiongozi wa wazee wa Iramba.

KAZI HII ITAKUWA NI YA MWEZI MMOJA.

Hizi ni Namba za Mwigulu Nchema kama unataka kumpa Taarifa.
Office Location: Box 52 Kiomboi, Iramba
Office Phone:
+255 878 513446/+255 757 946223
 
Nadhani unataka kutuchemsha kwa nini majeshi yote hayo duuh siamini
 
Ngoja nimtwangie Mwigulu nimpe taarifa...Hiyo timu yaweza kumhamisha Jimbo huyu Mzinzi na Mropokaji...
 
Mleta mada hizi taarifa akizipata chemba hakika lazma azimie,namshauri aongee na nape kwa ajili ya kufuta nyanyo atakapozinduka.
 
duh! Hii habari inapaswa kuthibitishwa na Tumaini Makene, Dr. Slaa, Zitto au viongozi wa juu walioko kwenye jukwaa hili. Halafu bavicha sijawaona hapa! Kulikoni?
 
Zitto Kabwe amethibitisha kushiriki na amepewa kazi maalumu ya utafiti chini ya wasaidizi wa wasomi sita wenye alama za juu za mambo ya uchumi na utawala wa fedha kutoka Chuo Kikuu cha Tanzania na kushauri timu itakayokuwepo Iramba, kazi hii pia itamruhusu kuhutubia katika vikao vya Iramba.

Kazi yake nyingine ni kuwashughulikia na kuwapangia kazi wanasiasa wageni wote watakaoanza kuja Nchini kutoka Kenya na Uganda watakaohutubia mikutano mbalimbali ya Chadema Nchi nzima wakielimisha kuhusu namna bora za hoja za kikatiba za kudhibiti na kuwaadhabisha mafisadi, haki katika ardhi na haki za Binadamu katika katiba Mpya. Katika wageni hao wapo maprofesa wanne waliosomea Sheria za Katiba na kupata alama za juu kutoka Kenya, Uganda, Nigeria na Ivory Coast.

Jina langu ni Cable, maana yake waya, Waya wa Simu:

Subiri Utafurahi.
 
Chama cha CHADEMA kitafanya Ziara ya Mwezi Mzima katika Jimbo la Iramba Mangaribi ambalo ni Jimbo la Mh. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kuimarisha chama, Mada zitakazozungumziwa katika Ziara hiyo ni;

1. Utendaji wa BOT kati ya Mwaka 2006 - 2010
2. Wizi wa Fedha za EPA
3. Uhusika wa BOT na Taratibu za ufunguaji Akaunti nje ya nchi
4. Uhusika wa Wafanyakazi wa BoT na wizi wa pesa za EPA
5. Uhusika, usaidizi, ushauri wa kitaalamu wa wafanyakazi wa BOT uliosaidia kuibwa kwa Fedha za EPA
6. Ushauri Mbovu wa masuala ya Uchumi katika kipindi cha 2006 - 2010 ndani ya BoT
7. Ugumu wa maisha ya wananchi wa Iramba Mangaraibi, suluhisho la Matatizo yao.
8. Matatizo ya Elimu katika Jimbo la Iramba Magharibi,
9. Utendaji wa Kazi wa Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi,
10. Serekali kushindwa kushughulikia Mauaji ya Raia baada ya uchaguzi wa Igunga na Arumeru Mashariki.
11. Hali ya Uchumi ya Nchi.

Wazungumzaji Wakuu:

1. Freeman Mbowe
2. Mchungaji Msigwa - Kiongozi wa Ziara
3. Mh. John Mnyika - Katibu wa Ziara
4. Dr. Wilbrod Silaa
5. Godbless Lema
6. Halima Mdee
7. Joshua Nassari
8. Mh. Wenje

Wazungumzaji Huru.

1. Ma Profesa wawili wa Uchumi - Chuo Kikuu Dar - Es - Salaam
watatoa elimu kwa umma kuhusu Uchumi na utekelezaji wa Mipango ya Taifa - Majina yanahifadhiwa kwa sasa.

2. Wanaharakati Mashuhuri Wawili - Majina yanahifadhiwa kwa sasa
3. Uongozi wa TAMWA - Taifa
4. Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge Igunga
5. Mume wa Mwanamke aliyefumaniwa na kiongozi wa Juu wa CCM Igunga
6. Baba mzazi wa Kijana aliyekutwa amekufa Igunga mara baada ya Kampeni
6. Wazazi na Mke wa Kiongozi wa Chadema aliyeuwawa Arumeru mara baada ya Uchaguzi
7. Wazazi wa Vijana Wanne waliouwawa kwa kuvunjwa Shingo na kutupwa Jimbo la Arumeru Mashariki
8. Viongozi wa Dini kuu mbili za Kiislam na Kikristo
9. RPC Mstaafu
10. Ungozi wa Kitaifa LHRC (Haki za Binadamu) Tanzania
11. UONGOZI WA KITAIFA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB)
12. Kiongozi wa wazee wa Iramba.

KAZI HII ITAKUWA NI YA MWEZI MMOJA.

Hizi ni Namba za Mwigulu Nchema kama unataka kumpa Taarifa.
Office Location:Box 52 Kiomboi, Iramba
Office Phone: +255 878 513446/+255 757 946223

spidi 120
 
Chama cha CHADEMA kitafanya Ziara ya Mwezi Mzima katika Jimbo la Iramba Mangaribi ambalo ni Jimbo la Mh. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kuimarisha chama, Mada zitakazozungumziwa katika Ziara hiyo ni;

1. Utendaji wa BOT kati ya Mwaka 2006 - 2010
2. Wizi wa Fedha za EPA
3. Uhusika wa BOT na Taratibu za ufunguaji Akaunti nje ya nchi
4. Uhusika wa Wafanyakazi wa BoT na wizi wa pesa za EPA
5. Uhusika, usaidizi, ushauri wa kitaalamu wa wafanyakazi wa BOT uliosaidia kuibwa kwa Fedha za EPA
6. Ushauri Mbovu wa masuala ya Uchumi katika kipindi cha 2006 - 2010 ndani ya BoT
7. Ugumu wa maisha ya wananchi wa Iramba Mangaraibi, suluhisho la Matatizo yao.
8. Matatizo ya Elimu katika Jimbo la Iramba Magharibi,
9. Utendaji wa Kazi wa Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi,
10. Serekali kushindwa kushughulikia Mauaji ya Raia baada ya uchaguzi wa Igunga na Arumeru Mashariki.
11. Hali ya Uchumi ya Nchi.

Wazungumzaji Wakuu:

1. Freeman Mbowe
2. Mchungaji Msigwa - Kiongozi wa Ziara
3. Mh. John Mnyika - Katibu wa Ziara
4. Dr. Wilbrod Silaa
5. Godbless Lema
6. Halima Mdee
7. Joshua Nassari
8. Mh. Wenje

Wazungumzaji Huru.

1. Ma Profesa wawili wa Uchumi - Chuo Kikuu Dar - Es - Salaam
watatoa elimu kwa umma kuhusu Uchumi na utekelezaji wa Mipango ya Taifa - Majina yanahifadhiwa kwa sasa.

2. Wanaharakati Mashuhuri Wawili - Majina yanahifadhiwa kwa sasa
3. Uongozi wa TAMWA - Taifa
4. Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge Igunga
5. Mume wa Mwanamke aliyefumaniwa na kiongozi wa Juu wa CCM Igunga
6. Baba mzazi wa Kijana aliyekutwa amekufa Igunga mara baada ya Kampeni
6. Wazazi na Mke wa Kiongozi wa Chadema aliyeuwawa Arumeru mara baada ya Uchaguzi
7. Wazazi wa Vijana Wanne waliouwawa kwa kuvunjwa Shingo na kutupwa Jimbo la Arumeru Mashariki
8. Viongozi wa Dini kuu mbili za Kiislam na Kikristo
9. RPC Mstaafu
10. Ungozi wa Kitaifa LHRC (Haki za Binadamu) Tanzania
11. UONGOZI WA KITAIFA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB)
12. Kiongozi wa wazee wa Iramba.

KAZI HII ITAKUWA NI YA MWEZI MMOJA.

Hizi ni Namba za Mwigulu Nchema kama unataka kumpa Taarifa.
Office Location:Box 52 Kiomboi, Iramba
Office Phone: +255 878 513446/+255 757 946223


Hii imekaa vizuri, tena mkamwambie na ile dhambi aache, ile ya igunga.
 
kama kikosi hiki kitatua kwa Mwigulu lazima atahama jimbo hii ni hukumu kwa Mwigulu na wakitoka hapo wasisahau kwa Lusinde
 
Nimeipenda sana hiyo yan,Yy si alisema Nassari kadogo hakaenei ht kiganjani Mrisho Ngasa ana afadhali!Dharau nyng tutamshika pabaya.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom