Ndoa Ni sakramenti takatifu kwa wakristo,nachukizwa na matumizi ya maneno toka sakramenti hiyo katika tangazo la zantel, Kuna maneno mengi Tu kuliko kutumia sakramenti takatifu, acheni mnatuboa wengi
Ni makelele yanayokera.
mkuujitambue, tangazo linagusia sakramenti takatifu ya ndoa, hatuhitaji michezo yanapokuja maswala muhimu ya imani, simply waliondoe
tunategemea tangazo litalofuata la zantel litakua la hazana
this is not for you dude
Sakramenti ni nini, na imeandikwa wapi ktk mwongozo wa wakiristo (Bibria)
Ni makelele yanayokera.[/QUOTsaaafi saaana
kwa mfano makelele yapi hasa, toa mfano..
Allahu akbaaaaaru allaaaaaaaaahu akbaaar! Ashahadu ailaha ailalaaaaaaa...Aiallahswalaaaaahwallaaaau wakibaru wallaaaaaaaaau wakibaru....Tena saa zingine ni alfajiri watu tumelala na wake zetu tunapigiwa makelele yasiyo na msingi.
Naunga mkono hoja nafikiria kutengeneza tangazo wanamkimbiza kiti moto halafu simu inaita anapokea ! kitimoto anapita x 2 anatupia kisu anasema 'kajifie' kwa lafudhi ya kiunguja naingia studio
sakaramenti ndio nini !???............ni tendo la ndoa au !?