Tangazo la Msiba Chadema Mbeya

Tangazo la Msiba Chadema Mbeya

kamanda wa kamanda

Senior Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
191
Reaction score
75
Mama wa mkuu wa oparesheni na hamasa nyanda za juu kusini na Mwenyekiti wa wilaya mbeya mjini Kamanda Jonh Mwambigija Mzee wa Upako amefari dunia leo saa nane mchana makamanda wote wa mbeya mnaombwa kufika maeneo ya Juhud ilemi kwa ajili ya mipango ya Kusafilisha mwili wa marehemu kwenda Tukuyu
 
Mhh pole, ila nitarudi tena kuthibitisha hizi news
 
alale popote mungu atakapoamua
 
Ahsante kwa taarifa. Tupo pamoja ndugu zetu.
 
Poleni sana wafiwa.

Kwa moyo wa unyenyekevu napenda kutambua mchango wa marehemu Mzee John Mwambigija ktk siasa za Mbeya hasa kuelekea ukombozi wa Tanzania toka mikononi mwa mafisadi na maharamia walioko madarakani.
 
Pole Mzee wa upako unahistoria ya kutopoteza Kata unayokabidhiwa kwenye byelections
 
R.I.P Mama yetu Bwana ametoa na Bwana ametwaa,jina la Bwana lihimidiwe. Pole sana mzee wa upako.
 
Mzee wa upako ccm wanamfahamu kama njaa...
R.I.P mama Mwambigija.!!
 
poleni wana Mbeya wote na Mungu mwingi wa rehema amweke mahali pema peponi. Amina
 
kamanda mwakibinga pole sana kwa msiba na MUNGU AWATIE NGUVu na kuwapa moyo wa matumaini Ameen
 
RIP Mama ...hakika umezaa mpambanaji...ndani ya MBY wajeda walitoka nduki kwa mipango thabiti ya kamanda wetu...poleni vijana wa mwanjelwa...
 
Mwenyenzi Mungu ampe pumziko la Milele katika shamba lake Bwana wetu!
 
Poleni sana makamanda tuko pamoja katika majonzi

R.I.P mama.
 
Mungu amlaze pahala pema peponi amen.
 
tunamshukuru sana huyo bi mkubwa kwa kutuzalia KIBOKO YA MAGAMBA ya mbeya , tunamuomba MUNGU ampunguzie adhabu za kaburi , AMINA .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom