Cccccm imempa sumu auMama wa mkuu wa oparesheni na hamasa nyanda za juu kusini na Mwenyekiti wa wilaya mbeya mjini Kamanda Jonh Mwambigija Mzee wa Upako amefari dunia leo saa nane mchana makamanda wote wa mbeya mnaombwa kufika maeneo ya Juhud ilemi kwa ajili ya mipango ya Kusafilisha mwili wa marehemu kwenda Tukuyu