Tangazo la Msiba Chadema Mbeya

Tangazo la Msiba Chadema Mbeya

Poleni wafiwa,Mwenyezi Mungu amlaze mahala anapostahiki.

Mtoa taarifa taarifa yako haijakamilika kwa kueleza kama Mama yetu alikuwa anaumwa for how long alikuwa anasumbuliwa na nini.
 
Pole sana Kamanda Mwambigija,tuko pamoja katka kipindi hiki kigumu kwa familia ya mzee Mwambigija hapo nyumbani.
 
pole kamanda naamin huko aliko anafurahi kwamba unapigania watanzania tofaut na wachumia tumbo
 
Mama umemaliza kazi ya kuizalia Mbeya mpambanaji na sasa utavalishwa taji. Pumzika kwa amani mama.
 
Mama wa mkuu wa oparesheni na hamasa nyanda za juu kusini na Mwenyekiti wa wilaya mbeya mjini Kamanda Jonh Mwambigija Mzee wa Upako amefari dunia leo saa nane mchana makamanda wote wa mbeya mnaombwa kufika maeneo ya Juhud ilemi kwa ajili ya mipango ya Kusafilisha mwili wa marehemu kwenda Tukuyu
Cccccm imempa sumu au
 
Lumumba hata msiba hamtoi pole buku 7 si lolote kwenye maisha ya mtu u div5 unawapoteza jamani mulugo type taifa linaenda wapi kwa product hii ya lumumba ya ki div 5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom