Nikweli kabisa. Sijawahi kuona habari ikiangaliwa nje na ITV. Hata mie mwenyewe siwezi kuweka tbc wa star tv au nyinginezo. Najua ITV nitapata habari za ACT, CHADEMA + UKAWA, CCM, CHAUMA etc.
wewe ndo uko pamoja namimi itv unaweza kupata habari toka vyama vyote tofauti na tbc au star ambao wana mapenzi na mgombea fulani shida ni pale umdhaniaye atashinda kumbe sivyo