Tangazo la Lowassa Clouds FM

Tangazo la Lowassa Clouds FM

Watu Wengi Wanaangalia Sana Itv Sa 2 Muda Wa Taarifa Ya Habari Na Haijaanza Leo Hii Kitu/tabia.ukiondoa Hapo Weng Hawaangaliagi Itv Most Us Ni Vijana Tunapenda Music Na Vipindi Vinavotuhusu.Na Ukifuatilia Zaidi Katika Hilo Utakuta Cloudstv Na Eatv Ndio Zinaangaliwa Zaidi....!!
 
Unaposema ndio most viewed/watched una ushahidi gani? Au hisia zako zinakutuma ndo ukajua kila mtu anaangalia ITV. KUmbuka, "No research, no rights to speak".
Sasa ni TV gani inaangaliwa zaidi Tanzania kuliko itv? Au kwako ni tbc?
 
We pimbi mabadiliko gani wakati jamaa hana hata ujasiri wa kutamka neno rushwa au ufisadi? Ama kweli kuna watanzania mazuzu

Wewe ndiye pimbi kabisa. Aliyekukaririsha kwamba kutamka ufisadi ndio kuuondoa ni nani? Mbona ufisadi umetamkwa sana ndio unazidi kuongezeka? Hata huyo Makomeo wenu anautaja sana na kwenye wizara yake inaongoza kwa ufisadi. Upo hapo wewe pimbi?
 
Itv ina watazamaji wengi kwa sasa..clouds taarifa mpaka za diwani ila mkutano wa lowasa huwezi ona hata mmoja
 
Sio clouds ni Magic fm ndio lipo hilo tangazo.

Umekosea kusema sio clouds ilipaswa useme na magic pia wanatangaza hilo tangazo kwani mimi nimelisikia clouds
 
Ndugu zangu nimeamini kweli mabadiliko yanakuja baada ya kusikia tangazo linalo mnadi Lowassa Clouds FM.

Ninaamini kama ni enzi zile hakuna redio wala chombo chochote cha habari kingekubali kupokea Tangazo la kumnadi mgombea wa upinzani. Japo ni Biashara.

Go Lowassa go Mungu ibariki Tanzania, mungu mbariki Lowassa.

Bado siku 10... Mungu yuko nasi
 
We pimbi mabadiliko gani wakati jamaa hana hata ujasiri wa kutamka neno rushwa au ufisadi? Ama kweli kuna watanzania mazuzu

Kwahiyo mkuu kwako Wewe sio uhitaji uthibitisho ila akitamka tu tayari unamuamini duh
 
Unaposema ndio most viewed/watched una ushahidi gani? Au hisia zako zinakutuma ndo ukajua kila mtu anaangalia ITV. KUmbuka, "No research, no rights to speak".

Mbona jibu ni jepesi!ITV NI SUPER BRAND NUMBER MOJA NYAU NINYI.
 
Kwani twaweza walifanyaje utafiti wao? Na mtoa mada naye katumia hizo..
 
Unaposema ndio most viewed/watched una ushahidi gani? Au hisia zako zinakutuma ndo ukajua kila mtu anaangalia ITV. KUmbuka, "No research, no rights to speak".


Kama sio ITV ni station gani?
 
Hao superbrand ndio nani!! Hawawezi kuwa ndiyo kigezo pekee ndg yangu. Na usishangae wakawa na influence na hiyo station au wakawa na bias. Watokee na wengine watoe utafiti wao kwa vigezo vinavyakubalika kiutafiti, siyo maoni tu binafsi mnatuletea mkadhani ndiyo ya Watanzania wote

tbc imekosa mvuto zaidi kuweka katuni ilikuvutia watoto.
tbc habari za ukawa hawaonyeshi kabisa sijui watangazaji wana mimba changa
 
Umekosea kusema sio clouds ilipaswa useme na magic pia wanatangaza hilo tangazo kwani mimi nimelisikia clouds

clouds nao wamekubali mabadiliko.. kuna kampeni moja ya magufuri pale clouds anavyoongea ni kama amekata tamaa anaomba huruma ya wananchi.. lakini too late tupo ukawa
 
Ndugu ninkaa sana Kwenye Ma bar, Kipindi cha nyuma walikua Taarifa ya habari ilikua lazima waweke TBC, lakini baada ya kuonekana mwenendo wake kipindi hiki cha campaign sijawahi kuona Bar yoyote inaweka Taarifa ya habari TBC. siandiki kishabiki naandika ukweli na Mungu ndio shahidi wangu

Nikweli kabisa. Sijawahi kuona habari ikiangaliwa nje na ITV. Hata mie mwenyewe siwezi kuweka tbc wa star tv au nyinginezo. Najua ITV nitapata habari za ACT, CHADEMA + UKAWA, CCM, CHAUMA etc.
 
Hao superbrand ndio nani!! Hawawezi kuwa ndiyo kigezo pekee ndg yangu. Na usishangae wakawa na influence na hiyo station au wakawa na bias. Watokee na wengine watoe utafiti wao kwa vigezo vinavyakubalika kiutafiti, siyo maoni tu binafsi mnatuletea mkadhani ndiyo ya Watanzania wote

Povu la nini sasa ITV ni super brand na INA watazamaji wengi kwa sasa
 
Ok asante kwa taarifa. Kumbe hata clouds nao wamekubali kutangaza!!! Basi kweli mabadiliko yanakuja.
 
clouds nao wamekubali mabadiliko.. kuna kampeni moja ya magufuri pale clouds anavyoongea ni kama amekata tamaa anaomba huruma ya wananchi.. lakini too late tupo ukawa

Ukawa Bwana,sasa Ulitaka Aongeaje?Ulitaka Aongee Kama Yupo Jukwaani?Mbona Hata Lowassa Tangazo Lake Magic Na Channel Ten Anaongea Kihuruma?
 
Unaposema ndio most viewed/watched una ushahidi gani? Au hisia zako zinakutuma ndo ukajua kila mtu anaangalia ITV. KUmbuka, "No research, no rights to speak".

Mbona unang'aka,ulitaka aseme TBC?mapovu yatawatoka sana mpaka 25 October mtakuwa mmenyooka
 

Attachments

  • 1444720406748.jpg
    1444720406748.jpg
    22.1 KB · Views: 342
Back
Top Bottom