Tangazo la Lowassa Clouds FM

Tangazo la Lowassa Clouds FM

Mlachake

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2009
Posts
4,451
Reaction score
4,654
Ndugu zangu nimeamini kweli mabadiliko yanakuja baada ya kusikia tangazo linalo mnadi Lowassa Clouds FM.

Ninaamini kama ni enzi zile hakuna redio wala chombo chochote cha habari kingekubali kupokea Tangazo la kumnadi mgombea wa upinzani. Japo ni Biashara.

Go Lowassa go Mungu ibariki Tanzania, mungu mbariki Lowassa.
 
Acha promo hakuna anaeangalia Itv labda wafuasi wa lowassa na habari za lowassa zikiisha wanatimka.kuna uzi humu unazungumzia hilo

Ndugu ninkaa sana Kwenye Ma bar, Kipindi cha nyuma walikua Taarifa ya habari ilikua lazima waweke TBC, lakini baada ya kuonekana mwenendo wake kipindi hiki cha campaign sijawahi kuona Bar yoyote inaweka Taarifa ya habari TBC. siandiki kishabiki naandika ukweli na Mungu ndio shahidi wangu
 
Hahahha Naona vjana wa January makamba IT masaki.wameanza kazi Leo mapemaaaaaaa..shikamoo IT masaki..!!!!Naona walioipa super brand kwa Miaka 10 iliyopita ni wajinga
 
Wanaobisha watuambie ni tv gani watu wanaangalia zaidi hapa tz
 
Unaposema ndio most viewed/watched una ushahidi gani? Au hisia zako zinakutuma ndo ukajua kila mtu anaangalia ITV. KUmbuka, "No research, no rights to speak".

Rejea post yangu hapo juu
 
Ndugu zangu nimeamini kweli mabadiliko yanakuja baada ya kusikia tangazo linalo mnadi Lowassa Clouds FM.

Ninaamini kama ni enzi zile hakuna redio wala chombo chochote cha habari kingekubali kupokea Tangazo la kumnadi mgombea wa upinzani. Japo ni Biashara.

Go Lowassa go Mungu ibariki Tanzania, mungu mbariki Lowassa.

We pimbi mabadiliko gani wakati jamaa hana hata ujasiri wa kutamka neno rushwa au ufisadi? Ama kweli kuna watanzania mazuzu
 
Sio clouds ni Magic fm ndio lipo hilo tangazo.
 
usipingane na kweli Itv ndo most watched tv station ushahidi ni kuwa huoni anavyopata tuzo za super brand mara nyingi

Hao superbrand ndio nani!! Hawawezi kuwa ndiyo kigezo pekee ndg yangu. Na usishangae wakawa na influence na hiyo station au wakawa na bias. Watokee na wengine watoe utafiti wao kwa vigezo vinavyakubalika kiutafiti, siyo maoni tu binafsi mnatuletea mkadhani ndiyo ya Watanzania wote
 
Gooo lowassa until you reach to magogoni where the states house is our president lowassa
 
Ndugu zangu nimeamini kweli mabadiliko yanakuja baada ya kusikia tangazo linalo mnadi Lowassa Clouds FM.

Ninaamini kama ni enzi zile hakuna redio wala chombo chochote cha habari kingekubali kupokea Tangazo la kumnadi mgombea wa upinzani. Japo ni Biashara.

Go Lowassa go Mungu ibariki Tanzania, mungu mbariki Lowassa.

Kama kubarikiwa alishabarikiwa, abarikiwe mara ngapi, kubarikiwa sio lazima awe President
 
Back
Top Bottom