Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,878
- 1,061
jamani kuna lili tangazo la condom! kuna jamaa anaingia clab..alafu anaelekea caunter alipofika pale cjui alikuwa anatoa nini mara pakiti ya condom ikadondoka mwisho wanasema USISAHAU KUONDOKA NYUMBANI NA PAKITI YAKO nyie mnaonaje wadau, kwa wanawake ina maana mmeo akiondoka kama amesahua umkumbushe asisahau kuondoka na pakiti ........