Mpe pole sana boss wako mungu alitoa ametwaa!wakuu nasikitika kutangaza kifo cha mke wa staff wangu kilichotokea temeke hospital jana ucku marehemu alikuwa anaitwa priska kwa kweli kimeniuma kwani wametoka kufunga ndoa mwaka jana hawana ata miezi 7 ktk ndoa msiba upo kongowe ya mbagala
bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe mkinikosa hewani mjue nipo bze na msiba wakuu.