Tangazo la Kazi St Patrick Hill School Kiserian

Tangazo la Kazi St Patrick Hill School Kiserian

fired

Senior Member
Joined
Apr 4, 2021
Posts
185
Reaction score
397
Shule ya sekondari St Patrick Hill School Kiserian iliyopo Kiserian nchini Kenya inatangaza nafasi za kazi kwa walimu.

Mshahara ni shilingi 350,000 kwa mwezi. Tafadhali fahamu kuwa mshahara hautalipwa wakati wa likizo za shule katika miezi ya Aprili, Agosti na Desemba.

Kwa maelezo zaidi au kuwasilisha maombi, wasiliana kupitia namba: +254 721 169 827.
 
Shule ya sekondari St Patrick Hill School Kiserian iliyopo Kiserian nchini Kenya inatangaza nafasi za kazi kwa walimu.

Mshahara ni shilingi 350,000 kwa mwezi. Tafadhali fahamu kuwa mshahara hautalipwa wakati wa likizo za shule katika miezi ya Aprili, Agosti na Desemba.

Kwa maelezo zaidi au kuwasilisha maombi, wasiliana kupitia namba: +254 721 169 827.
aisee hii Hatari sana kwa kweli
 
walimu wanamtoroka kila uchao
Ni haki wamkimbie maana sio kwa mshahara huo aisee.

Bora ukomae na kazi za mtaani kuliko kutumikia ajira yenye masrahi mdogo kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom