Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 43,934
- 95,301
Mimi kamma raisi wa ma jobless pro max, nakemea wanachama wangu kuomba kazi hii.
Zipi? Zipo nyingi aseme mojawapo.Si digital services umeambiwa
Mfano?Si digital services umeambiwa
Soma username yake utaelewaMfano?
😂😂😂Soma username yake utaelewa
Inaitwa telemarketing...Nafasi za kazi huria
Kazi ni digital services
Mshahara -100k kwa mwezi
Uwe na simu
Uwe mkoa wowote
Mkataba upo
Uwe una uzoefu wa kuongea na watu
(Communication skills)
Ushawishi muhimu
Wanaotaka ni PM AU ANDIKA NO YAKO NITAKUPIGIA
CONTACT:
zelemelohiym@gmail.com
Na wanajaa ?Umefanya nimkumbuke yule jamaa anayewatongoza wanaomdai marejesho..!!
Tokea mwaka huu uanze Leo hii umeongea point, kazi inafichwa kama madawa ya kulevya lazima ufikirie mara mbiliMimi kamma raisi wa ma jobless pro max, nakemea wanachama wangu kuomba kazi hii.
Acha ujinga nani akupe namba ya simu JF. Au umetumwa na wasiojulikanaNafasi za kazi huria
Kazi ni digital services
Mshahara -100k kwa mwezi
Uwe na simu
Uwe mkoa wowote
Mkataba upo
Uwe una uzoefu wa kuongea na watu
(Communication skills)
Ushawishi muhimu
Wanaotaka ni PM AU ANDIKA NO YAKO NITAKUPIGIA
CONTACT:
zelemelohiym@gmail.com
Kama unajua huwa unakosoa humu mafisadi, watekaji na wauaji usithubutu kuweka namba. Machawa wanatafuta wahanga kimkakati sanaNafasi za kazi huria
Kazi ni digital services
Mshahara -100k kwa mwezi
Uwe na simu
Uwe mkoa wowote
Mkataba upo
Uwe una uzoefu wa kuongea na watu
(Communication skills)
Ushawishi muhimu
Wanaotaka ni PM AU ANDIKA NO YAKO NITAKUPIGIA
CONTACT:
zelemelohiym@gmail.com
Acha fikra za kizamaniKama unajua huwa unakosoa humu mafisadi, watekaji na wauaji usithubutu kuweka namba. Machawa wanatafuta wahanga kimkakati sana
Kinachonichekesha ni kuona katibu mkuu wa ofisi ya majobless pro max umerudi kuulizia fursa ilihali Rais wetu alishatoa tamko juu ya hii kazii 😁😁beberu la mtaa Boss mbona unancheka tena?
Hizi zinakuwaga kama ajira za TISS zinavyotolewaga 😅😅Kinachonichekesha ni kuona katibu mkuu wa ofisi ya majobless pro max umerudi kuulizia fursa ilihali Rais wetu alishatoa tamko juu ya hii kazii 😁😁