Enyi polisi gasia hizi ndizo zinaweza kutupa majibu kuwa serikali yetu ikoimara kiasigani
Taarifa za kiintelijensia zinaonyesha baada ya kutawanywa na polisi, vikundi vya watu wanaofanya vurugu wamedhamiria kuchoma makanisa na kudhuru leo usiku. Kwa mantiki hiyo naomba kuwashauri waumini wote wa kikristo wa dar leo na kesho wajitolee kulinda makanisa yao usiku kucha. Ingawa walioandamana ni wengi, lakini imethibitka kuwa watakaohusika kuchoma makanisa ni kundi dogo ambalo hawazidi 200.
Asanteni, nitarudi baadae...
Tahadhari: Wawe wamejihami...
Acha kuchonganisha watu
taarifa za kiitelijisia peleka polisi
wewe umezipataje kama sio muongo?
wajihami ili iweje?
polisi kazi yao ni nini?