mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,323
- 1,105
Malaika watayalinda makanisa yetu wala sina hofu juu ya hilo,
taarifa za kiintelijensia zinaonyesha baada ya kutawanywa na polisi, vikundi vya watu wanaofanya vurugu wamedhamiria kuchoma makanisa na kudhuru leo usiku. Kwa mantiki hiyo naomba kuwashauri waumini wote wa kikristo wa dar leo na kesho wajitolee kulinda makanisa yao usiku kucha. Ingawa walioandamana ni wengi, lakini imethibitka kuwa watakaohusika kuchoma makanisa ni kundi dogo ambalo hawazidi 200.
Asanteni, nitarudi baadae...
tahadhari: Wawe wamejihami...
alienusurika kile kichapo hawezi rudia huo ujinga wa kuandamana siku za karibuni,Thubutu! wamepata kipigo cha kutosha kutoka kwa mgambo! FFU na polisi! Now wanajuta!