Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

Sir Lugoje maswali niliyouliza ni ya msingi sana ili wanajf wajue mtu sahihi wa kumuuliza ili wasitapeliwe humuhumu kwa sababu kwa sasa utapeli umeshika sana kasi nchini
 
Ejay unashiida. Unataka kujua kama kweli mm ni poti!!! What the hell use of it? Yes,utathibitisha mm poti then what? Kwani mm nimetaka watu mnijue ka poti. Humu JF kuna wanausalama wengi mno,tena kila sekta. Mm nilijitokeza kusaidia tu (hata kama naww niaskari). Ni kinyume na taratibu za jeshi kujiunga kwny mitandao kama hivi but i revealed my ID to help u.
Kwa kukusaidia tu nakujibu;
GD- means General duty...huvaa kaki au green jungle kwny operation. Kaz yao nigeneral,anaweza kufanya kaz ya trafic,ffu,etc according to the need. Depo yng wiki 38, Kupigiwa salute ni vyeo vya begani tu...i.e kuanzia nyota moja kwa jeshi lolote hata magereza au uhamiaji. Kozi yng yanyota ilichukua miez 6 CCP na PGO husema mafunzo yyte (cheo chchte) kuanzia Corporal kozi zao ziambatane na mafunzo ya uongozi maana ndipo uongoz huanzia..lakini field craft lazma wakumbushwe. PGO= Police General Orders,SACP= Senior Assistant Commissioner of Police, Kuna makamishna 8 Tz kulingana na comission zilizopo..ukimtoa afande Mangu na Kaniki. USINIULIZE TENA. LABDA KAMA UTAHITAJI KUJUA KUWA NITAKUTAMBUAJE KUWA WW SIO EJAY NA UMETUMIA VIBAYA UHURU WA MAWASILIANO MITANDAONI...NIKUPATEJE ILI NIKUTIE NDANI KWA NJIA YA CYBER CRIMES SITING PROGRAM? Fanya kazi askari wng...dont ever test me, am here to help civilians...! Farewell! EJay.

Sir yes sir!! Mwela lazma ujiamini. Nakuja kuwa modern police in a primitive force.

I'm the catalyst.
 
Last edited by a moderator:
We sir lugoje ilo tangazo aliwahusu watu wa jkt?na umri unakuaje apo coz wengi wao uku wapo na 27.
 
Kuna usaili special wa watu wa JKT. Wanapomaliza tu kuna kundi linakuja baada yakujaza form. Kuhusu umri...icho nikiwango kilichowekwa lakini ikionekana kwny interview kwamba wengi wanasifa but umri ni mkubwa watawachukua. Ndio maana nawashauri muombe...ila isizidi 28.
Hamjaona terms za kuingia vyuo vikuu kuwa ni miaka 25...lakini watu wanaingia na 22 yrs. Experience kazini unaambiwa 3 yrs...mbona fresh from studies huchukuliwa!!! Karibu!
 
na mshahara utaangalia kiwango cha elimu au ndo yale mambo ya polisi ni polisi tuu?

Mshahara ni kiwango cha elimu na kaposho juu,acha kabisa sasa ni raha bhana ila ndo kama temporary job,not secured and it is contractual job till 12 years of work be aware. Of that!
 
Mkuu mbona mmetangaza nafasi kiupendeleo?? Maana wengine tumemaliza form Six tukiwa na miaka 23!!
Chuo miaka 3 hapo tayari nina 26 plus kusugua lami miaka 2 now ni 28!!!
Tangazo lenu mnasema lazima usiw above 25!! Huoni mnatoa ajira kiupendeleo poti?

Hahaaa pole sana ndugu..swali lako limenipa kicheko sanaaa..
 
Dah sir lugoje napenda san ilo jesh bt nakumbuk walikuj jkt wakaniacha kwa kukosa inch moja tu mi graduate na nna 27yrs ilinipain san kk yan inch moja tu du c mchezo mna mashart sana aisee cc vimbilikimo tuna kaz kweli wadau
 
Mshahara ni kiwango cha elimu na kaposho juu,acha kabisa sasa ni raha bhana ila ndo kama temporary job,not secured and it is contractual job till 12 years of work be aware. Of that!

Nyie jidanganyeni tu,kuna wenzenu waliingia mwaka 2012 (Professional) hadi leo wanazidiwa mshahara na Polisi wa Std 7 waliowakuta kazini,Lindo Kama kawaida.
 
Kwa mtu aliyekaa karibu na kota za police na kuwa karibu nao hii sio kazi kabisa mfano me nimekaa sana police ufundi,usalama changombe.stakishari,
 
Kazi ya lawama hii

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kwa mtu aliyekaa karibu na kota za police na kuwa karibu nao hii sio kazi kabisa mfano me nimekaa sana police ufundi,usalama changombe.stakishari,

Kuna urubani wahi mkuu hii haikufai watakuja wenye sifa na wanaohitaji.

9800
 
Dah sir lugoje napenda san ilo jesh bt nakumbuk walikuj jkt wakaniacha kwa kukosa inch moja tu mi graduate na nna 27yrs ilinipain san kk yan inch moja tu du c mchezo mna mashart sana aisee cc vimbilikimo tuna kaz kweli wadau.

Bwana Mkomanzila cwezi kukuhakikishia 100% lakini mwaka wangu mm walichukuliwa hadi wale wafupi tu...alimradi una profession ambayo ni productive kwa jeshi kama vile sheria,IT, HRM, Record managt, accountancy,social work,etc. Jaribu kuomba...ila hautapangwa traffic wala FFU.
 
Kwa mtu aliyekaa karibu na kota za police na kuwa karibu nao hii sio kazi kabisa mfano me nimekaa sana police ufundi,usalama changombe.stakishari,

Nyie ndo mnapotosha watu...kukaa kwako kota miaka yako yote iyo ndo umefaidi hilo? Najua huyo ndugu yko alisumbuka saana uingie polisi alishindwa.
Kama unaishi karibu na polisi alieingia na Std VI au kadi ya ccm zamani utamuonea huruma kuanzia anavovaa,kofia ya jeshi hadi maisha yakukopa. Iyo ni hazina usilaumu jeshi ndugu yangu...huwezi kumlinganisha uyo namm kipato au hatua...japo ninamiaka michache on service.
 
Nyie jidanganyeni tu,kuna wenzenu waliingia mwaka 2012 (Professional) hadi leo wanazidiwa mshahara na Polisi wa Std 7 waliowakuta kazini,Lindo Kama kawaida.

Tatizo lako unadhani kwakuwa mtu ameingia na profession basi akifika tu woote aliowakuta Std VI awapite bila kujali vyeo vyao. Criteria za mishahara huangalia nafasi uliopo au elimu uliyonayo. Huwezi uliefika juzi ukamzidi mshahara Kova eti kisa ana Std 8 ya zamani (mfano tu) afu ww una bachelor degree, huangalii nafasi aliopo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom