Tangazo kwa Changudoa kujiunga JF

Tangazo kwa Changudoa kujiunga JF

Acuity

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
391
Reaction score
118
Kwa hali ilivyo sasa, JF naona ukumbi wa MMU na Love Connect ni sehemu ya kupata michepuko. Hii ni digital technology ya kufanya uzinzi. Kwa kuwa kuna dada zetu bado wanafanya hiyo biashara kianalogia, nashauri changudoa wa Oysterbay, Kinondoni, Arusha, Mwanza, Mbeya, Ohio -Dar waje humu maana kuna soko njenje.
 
Kwa hali ilivyo sasa, JF naona ukumbi wa MMU na Love Connect ni sehemu ya kupata michepuko. Hii ni digital technology ya kufanya uzinzi. Kwa kuwa kuna dada zetu bado wanafanya hiyo biashara kianalogia, nashauri changudoa wa Oysterbay, Kinondoni, Arusha, Mwanza, Mbeya, Ohio -Dar waje humu maana kuna soko njenje.

Hapo unataka kutwambia humu Jf hawamo, hebu check vizuri, utawatambua kwa matendo.
 
Hapo unataka kutwambia humu Jf hawamo, hebu check vizuri, utawatambua kwa matendo.

Mkuu sina hakika kama wamo maana hizo requests za wapenzi wangeshazichangamkia.
 
Back
Top Bottom