Tangazo kutoka Kampala international University

Tangazo kutoka Kampala international University

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,315
Reaction score
8,750
Taarifa kwa jumuiya ya kampala international university in Tanzania ( KIUT)

Kutokana na mapungufu yaliojitokeza kwenye undergraduate admission guide book 2017/2018 kwa kutokuwepo kwa chuo chetu cha KIUT kwenye guide book hiyo iliyotolewa na TCU mwezi huu.

TCU imethibitisha kutokea kwa makosa hayo na mpaka kesho itakuwa imesharekebisha .

Asanteni na pole na majukum ya kila siku
 
Taarifa kwa jumuiya ya kampala international university in Tanzania ( KIUT)

Kutokana na mapungufu yaliojitokeza kwenye undergraduate admission guide book 2017/2018 kwa kutokuwepo kwa chuo chetu cha KIUT kwenye guide book hiyo iliyotolewa na TCU mwezi huu.

TCU imethibitisha kutokea kwa makosa hayo na mpaka kesho itakuwa imesharekebisha .

Asanteni na pole na majukum ya kila siku
Jana watu walitilia shaka hii kitu ya TCU. Kuna vyuo vilivyopotea (KIU, AJUCO, MARIAN etc) na programs ambazo zamani zilitotelewa na vyuo lakini sasa havionekani. Swali kulikuwa na makosa au ndo maamuzi ya TCU. Ilitakiwa TCU kwenye lile andiko lake la Program zilizo kuwa approved kuwe na utangulizi ili waombaji wasije wakaingia mkenge. Ukienda kwenye website unakuta course/program imetangazwa na chuo ukienda TCU document hiyo kiti haipo. Kwa namna hii TCU inachanganya waombaji. Hivyo wanatakiwa wa withdraw ile document na watoe document yenye utangulizi ku-direct watu kwamba kilicho nje ya kitabu cha TCU hakikubaliki au vinginevyo. Mwisho wa yote walio toa jana si guide book walitupa list ya vyuo na approved programmes bila maelekezo yeyote.
 
Jana watu walitilia shaka hii kitu ya TCU. Kuna vyuo vilivyopotea (KIU, AJUCO, MARIAN etc) na programs ambazo zamani zilitotelewa na vyuo lakini sasa havionekani. Swali kulikuwa na makosa au ndo maamuzi ya TCU. Ilitakiwa TCU kwenye lile andiko lake la Program zilizo kuwa approved kuwe na utangulizi ili waombaji wasije wakaingia mkenge. Ukienda kwenye website unakuta course/program imetangazwa na chuo ukienda TCU document hiyo kiti haipo. Kwa namna hii TCU inachanganya waombaji. Hivyo wanatakiwa wa withdraw ile document na watoe document yenye utangulizi ku-direct watu kwamba kilicho nje ya kitabu cha TCU hakikubaliki au vinginevyo. Mwisho wa yote walio toa jana si guide book walitupa list ya vyuo na approved programmes bila maelekezo yeyote.
Sasa wote twajua TCU ilitoa muongozo wa ziada na kuonyesha vyuo ambavyo haviruhusiwi na program ambazo haziruhusiwi kudahili. Bahati mbaya kwa KIU iko kwenye kundi hilo until further notice kama itakuwepo.
 
Back
Top Bottom