Kwa bahati nzuri mimi niko hukuhuku Israel huu ni mwaka wa nane nimejaribu kuwauliza huko nyuma Israel imewahi kusaidia nini Tanzania ? walipo google wakakuta walisaidia kuanzisha mafunzo ya JKT kuanzia mwaka 1965 mpaka mwaka 1972 ,wakati huo JKT kwa mjibu wa sheria walikuwa wanapewa mafunzo ya miezi sita tu lakini wahitimu walikuwa wanaiva kweli kweli wanakumbuka waliwafundisha askari kupiga pasi nguo zao walikuwa wanazinyoosha suruali mpaka ukiisimika inasimamama, baada ya kutoka wao basi wahitimu wa JKT wakapoteza kabisa mbinu za midani.
Mambo ya Intelligence nayo hawakuwa nyuma, wakufunzi wengi wa jeshi wamepata mafunzo Israel akiwemo Mkuu wa majeshi LT. GEN. Milisho Salakikya, pia Kina macomandoo wamejifunza Israel, kuna commandoo mmoja alihitimu mafunzo ya ke Israel akarudi kijijini kwao mkoa wa Dodoma kijiji cha Kigwe, data base yao inasema walimfatilia nyenendo zake kijijini, wanasema alidraw sana attention kijijini na vijiji vya jirani maana commando huyo alikuwa anavaa nguo hazina kabisa mifuko lakini anatoa hela anawanunulia pombe wanajamii na anapokea change anaziweka humo humo kwenye nguo ambazo hazina mifuko, halafu wakati wa chakula anaanza kula mboga badala ya ugali, asubuhi akifanya mazoezi alikuwa anapanda mti mguu juu kichwa chini.
Kifupi Israel itaisaidia sana serikali atakayo endeshwa na CHADEMA hasa katika maeneo ya TISS na uzalendo nakujitolea
ebaeban
Tel.Avivi
Mambo ya Intelligence nayo hawakuwa nyuma, wakufunzi wengi wa jeshi wamepata mafunzo Israel akiwemo Mkuu wa majeshi LT. GEN. Milisho Salakikya, pia Kina macomandoo wamejifunza Israel, kuna commandoo mmoja alihitimu mafunzo ya ke Israel akarudi kijijini kwao mkoa wa Dodoma kijiji cha Kigwe, data base yao inasema walimfatilia nyenendo zake kijijini, wanasema alidraw sana attention kijijini na vijiji vya jirani maana commando huyo alikuwa anavaa nguo hazina kabisa mifuko lakini anatoa hela anawanunulia pombe wanajamii na anapokea change anaziweka humo humo kwenye nguo ambazo hazina mifuko, halafu wakati wa chakula anaanza kula mboga badala ya ugali, asubuhi akifanya mazoezi alikuwa anapanda mti mguu juu kichwa chini.
Kifupi Israel itaisaidia sana serikali atakayo endeshwa na CHADEMA hasa katika maeneo ya TISS na uzalendo nakujitolea
ebaeban
Tel.Avivi