Tanganyika imerudi

Ndiyo, Tanganyika huru irudi haraka sana. Maana watanganyika na wingi wetu tunadhalilishwa na wahafidhina hasa wa Zenj na ccm yao.
 
NDIO

...tumechoka kuishi utumwani Tanznia,tunataka kurudi nyubani kwetu Tanganyika kule kwa babu na bibi zetu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…