Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,677
- 5,029
Dume ***** unakusudia senge au?
Yaa! Ee bana ndiyo! Sawa kabisa na babako mzazi...
Dume ***** unakusudia senge au?
(No longer Jamhuri ya) Tanganyika + (No longer Jamhuri ya Zanzibar) = Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Rais Kikwete juzijuzi alikuwa anatuuliza iwapo mchakato huu hapa chini uharakishweje:
(No longer Jamhuri ya Muungano wa) Tanzania + (No longer Jamhuri za Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi) = Jamhuri ya Shirikisho la Afrika Mashariki.
Mchakato huu unakwenda kwa kasi mpya.
Ndani ya huo mchakato hakuna tena hadithi ya Muungano wa mwaka 1964, kwa vile huo umeshafutwa na mkataba wa EAC.
Ama Zanzibar isiyo Jamhuri ishiriki kwa hadhi sawa na Tanzania / Tanganyika isiyo Jamhuri ndani ya EAC, au, Zanzibar isiyo Jamhuri iwe sehemu ya Tanzania isiyo Jamhuri ndani ya Jamhuri ya Shirikisho la Afrika Mashariki. Hicho ndicho wanachobishania kwa sasa, lakini si iwapo Tanzania ikome kuwa Jamhuri ya Muungano.
Kwa hiyo kujadili Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni kupoteza nguvu bure, kwa vile tayari imeshaamuliwa huo muungano sasa basi, Tanzania inaingia kwenye muungano mama lao wa Afrika Mashariki.
Baba wa Taifa was right. Vichukueni visiwa vyenu vipelekeni karibu na Haiti, Gadem!somo la baba wa taifa umelielewa, his legacy, alitamani aving'owe visiwa vile halafu akavirembee caribean huko...sisi tunataka vibaki hapo hapo, ila visinajisiwe na Muungano m-bovu m-bovu, unaolindwa na majangili na majizi tu.
Hivi Mlenge nadhani unatumia kauli zisizo na busara na unahitaji kwenda kupimwa akili kwanza.
Hapa la muhimu kwanza serikali ya Tanzania imalizane na kero za muungano before going to the EAC
Hivi wewe unakaa tuuu bado unaamini fikra kandamizi za Baba wa taifa, nani kakwambia kuwa znz inanafasi nzuri(na ipi hiyo?) katika muungano huu unaontia kichefuchefu cha roho, miaka arobaini ya hatua za mlevi zanzibar imesha suffer ndani ya muungano huu na wanaong'ng'ania usirekebishwe(siyo uvunjwe) ni wao bara na wameukalia kidete mrija wao wa unyonyaji wanaouita "upemba na uunguja" e.i, divide and rule policy, aliyorithi baba wa taifa kutoka kwa wakoloni kama bakora ya kuwachapa wazanzibar(ole wake huko aliko)
Wivu wa kike tu,mitanganyika ndo mlivyoBaba wa Taifa was right. Vichukueni visiwa vyenu vipelekeni karibu na Haiti, Gadem!
Endelea kuota....kuona....Licha ya Kijike cha Kizenjibari kumaindi kwa sana Makuwadi wake wa Kimanga, hakika kimwana huyu bado anafurahia sana kupigwa bumbu la kiutu uzima analopewa kila kukichwea na Dume lake la Kitanganyika. Na inavyoonekana (Piga ua!), hali hii itaendelea kuwa hivi hadi kiama! Habari ndiyo hiyoo...
Tumepata habari kuwa dume lenyewe kileja...Licha ya Kijike cha Kizenjibari kumaindi kwa sana Makuwadi wake wa Kimanga, hakika kimwana huyu bado anafurahia sana kupigwa bumbu la kiutu uzima analopewa kila kukichwea na Dume lake la Kitanganyika. Na inavyoonekana (Piga ua!), hali hii itaendelea kuwa hivi hadi kiama! Habari ndiyo hiyoo...
Jasusi, na kwa huruma zake akaona bora awasaidie wananchi wa visiwani maana vinginevyo ambayo yangewakuta yangekuwa makubwa zaidi ya tunavyodhani. Waliokula chumvi nyingi wanajua hali ilivyokuwa wakati ule. Leo mambo yametunyookea bara na visiwani basi tunasahau tulikotoka!Baba wa Taifa was right. Vichukueni visiwa vyenu vipelekeni karibu na Haiti, Gadem!
Eeh sasa hivi raha kabisa, midume ya kimasai inalala pamoja na midume ya kitaliana huku ikipunga upepo wa karafuu...Jasusi, na kwa huruma zake akaona bora awasaidie wananchi wa visiwani maana vinginevyo ambayo yangewakuta yangekuwa makubwa zaidi ya tunavyodhani. Waliokula chumvi nyingi wanajua hali ilivyokuwa wakati ule. Leo mambo yametunyookea bara na visiwani basi tunasahau tulikotoka!
Waswahili hunena mtu kwao,na wengine husema nyumbani ni nyumbani hata kama ni msituni.Mtikila mpaka sasa ukimuuliza anasema yeye ni mtanganyika.Na miaka ya tisini liliwahi kujitokeza kundi pale bungeni lililojulikana kama G55,lengo ikiwa ni kutaka kuwepo na serikali tatu,yaani ya Muungano,ya Zanzibar na Tanganyika.Mwisho wa siku hilo halikufanikiwa.
Mwalimu Nyerere mpaka Mungu anamwita, katika hotuba zake alisisitiza kwamba hajui jina Tanganyika lilitoka wapi,licha ya kwamba yeye alikuwa msomaji mzuri wa vitabu na mtafiti.Katika siasa kila wakati twaimba Muungano wa nchi mbili na licha ya Tanganayika kufa bado siku ya uhuru wa Tanganyika yasheherekewa kwa mbwembwe zote,tukikumbuka hayati Tanganyika.Pamoja na yote hayo ukweli unabaki palepale kuwa wengi wetu ni wataganyika,Muungano ni matokeo.Nchi nyingi,majina yake yanaendana na utamaduni wa mahala hapo.Je, Tanganyika ni kitu gani? asili yake nini? Nani alipendekeza nchi hii wakati huo iitwe hivyo,na alizingatia nini?
What is in a name?
Tanganyika = Tangatanga nyikani. Tanganyika did not reach 5th birthday alive.
Tanzania = Itanze nia yako (however, hakuna wa kuitanzua!). Tanzania did not reach 50th birthday as free as it was, and have her last President (Kikwete) sign agreement to dismantle it in EAC.
The idea of names of Tanzania / Tanganyika being jinxing were published in local newspapers years back.
Hivi Zanzibar ilipata uhuru wake mwaka gani vile? Naona kuna watu wanataka kuandika historia upya.Hao wanaowatukana Wazanzibari hawawakilishi mawazo ya right thinking Tanzanians.
Zanzibar was an independent country before Tanganyika.
Asking for their sovereignty is as noble thing to do as to choose to stay in the Union that is well defined.
Canada have Quebec, that a portion of population wants to get out of Canada. They just run referenda to ask if indeed that is what they want.
Tanganyika will soon be doing the same in EAC, wondering how did we end there.
Mlenge
10/10/1963 ndo tarehe, mwezi na mwaka wazanzibari walipotoka karika minyororo ya dhulma za wakoloni wa Uingereza(slave traders, colonialists,imperialists,neo colonialists etc)Hivi Zanzibar ilipata uhuru wake mwaka gani vile? Naona kuna watu wanataka kuandika historia upya.