Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,088
- 8,221
Niliposikia malipo ya viwandani nikadharau sana.wangeuhusiwa waende wakirudi wakute viwanda vimefikia 5000 labda ndio watapata kazi na kukidhi mahitaji yao,hivi 3500 vilivyopo nafasi zimejaa
Wanalipa 5700, wengine 6000 kwa siku kwa mwezi mtu aliyeajiriwa analipwa 200,000. Huu ni utumwa kbsa. Mm siwezi kufanya kazi kiwandani lbd wanalipa kuanzia laki 3 lkn chini ya hapo siwezi.