Tanga ilistahili kuitwa jiji

Tanga ilistahili kuitwa jiji

Mpigaji

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2011
Posts
384
Reaction score
42
Wadau naomba mnijuze hivi ni vigezo gani hutumika kuipa hadhi halmashauri ya manispaa kuwa jiji.Naomba kuwasilisha
 
Sifa za kuitwa jiji rejea vigezo vya halmashauri...kwa tanga kuitwa jiji ilistahili sema uzo unaofanya na viongozi wa serekali tanga ni wa wakutisha kuna ufisadi mbaya sana kuazia ujenzi wa miundomindi katiks mji hadi ugawaji wa zabuni nashangas wakazi wa tanga wanakuwa na kingungumizi kulisema hili watu wamelala sana siyo upande wa vyama vya siasa hadi mashirika ya kiraia.
 
Wadau naomba mnijuze hivi ni vigezo gani hutumika kuipa hadhi halmashauri ya manispaa kuwa jiji.Naomba kuwasilisha

Mkuu, mbona Tanga tayari inaitwa jiji muda tu? Au una maana gani
 
Kwa Tanzania mji uliopangwa na kupangika ni Tanga. Pengine hiyo imetokana na mfumo ulioachwa na wakoloni. Mji una barabara. Mji unapumua! Siyo kama Mwanza ambako aliye chini akapokea kila aina ya uchafu kutoka kwa walio juu!
 
Serikali ya CCM ndio imeiua Tanga na hata CHADEMA hawana mpango wa kuivamia Tanga na kuichukua na kuiweka pazuri kwani wanadhani mji wenye Waislamu wengi hawawezi kupata kura - Dr Slaa alithibitisha haya !

Yaani kwa kuacha kuiendeleza Bandari ile na kukimbilia kuanzisha mpya ya Bagamoyo ni ujinga ambao hata Diwani wa Mondo hawezi kuufikiria . Viwanda vipo na Bandari ipo pia...lakini ndio kama mamie wana alifunga kizazi !
 
  • Thanks
Reactions: Wun
Ninaufahamu huo mji vizuri, na ni moja ya sehemu ambazo nimeishi maisha ya raha na furaha katika uhai wangu duniani.
Baada ya kuzunguka sana nchini na nchi jirani kidogo ndio nimegundua uzuri wake.
Ni mji uliojaa utulivu, uungwana na utu.
Kipi kimekuvutia zaidi ndugu!
 
Sifa za kuitwa jiji rejea vigezo vya halmashauri...kwa tanga kuitwa jiji ilistahili sema uzo unaofanya na viongozi wa serekali tanga ni wa wakutisha kuna ufisadi mbaya sana kuazia ujenzi wa miundomindi katiks mji hadi ugawaji wa zabuni nashangas wakazi wa tanga wanakuwa na kingungumizi kulisema hili watu wamelala sana siyo upande wa vyama vya siasa hadi mashirika ya kiraia.

Kwa sababu yoyote ile, uamuzi wa kuifanya Tanga kuwa jiji kabla hata ya miji mikubwa ulikuwa wa kisiasa zaidi!
 
Kwa sababu yoyote ile, uamuzi wa kuifanya Tanga kuwa jiji kabla hata ya miji mikubwa ulikuwa wa kisiasa zaidi!

Kweli ulikuwa wa kisiasa tuangalia vigezo katika kanda ya kaskazini tanga ndio mkoa mkubwa kuliko yote ya kanda ya kaskazini. lakini ndio mkoa maskini wa maendeleo na miradi ya serekali na taasisi za umma nasema bado viongozi walikuwepo tanga wa kiserekali ni tatizo kubwa
 
Back
Top Bottom